Ningelikuwa ni Zitto, Kitila au Mwigamba muda kama huu ningelikaa kimya tu.
Unamtuhumu kuwa Slaa ni muongo wakati maamuzi yalifanywa na jopo la watu kadhaa na kusomwa na Slaa.
Ina maama maamuzi yale yangelisomwa na Mbowe kama utaratibu unavyohitaji, si ajabu leo hii Kitila angesema Mbowe ni muongo.
Mkuu no doubt Kawambwa na Mulugo wameleta division 5 baada ya kujua kuwa zilikuwepo kabla ya kurasimishwa. Kitila gives the public an opportunity of doubt. Na huyu alikuwa ni Rais wa DARUSO na dean of students DUCE. I fail to imagine the products that have been lectured by him. They will have the homework to embark on self negation