ZNM
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 1,217
- 1,273
Mkuu, bado kuna mahali umesikia hizo kauli zinaendelea kuzungumzwa?Sisi ni taifa tajiiiriiiii na dooona kantriiiiii hivyo tusihofu
Mkuu, bado kuna mahali umesikia hizo kauli zinaendelea kuzungumzwa?Sisi ni taifa tajiiiriiiii na dooona kantriiiiii hivyo tusihofu
Bashe: Serikali itawalinda wakulima kwa gharama zoteMkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Dr Kijazi amesema kutakuwepo na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo Wakulima wanapaswa kuchukua tahadhari.
Source: ITV habari
Kumbee!!! Wanadamu wasahaulifu sana aliyeapiza hatotoa chakula cha msaada kwenye ukame ule alikuwa nani??Mwendazake kaondoka na baraka za mvua.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Dr Kijazi amesema kutakuwepo na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo Wakulima wanapaswa kuchukua tahadhari.
Source: ITV habariaaa
daaa Jpm alikuwa na mvua nyingi sana,kaondoka na Barak a zake.Mungu turehemu.
Duuu hadi ukame unaletwa na Ma CCM?Ccm ndiyo imesababisha haya yote
Hii balaa tena. Vuli hamna?!Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Dr Kijazi amesema kutakuwepo na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo Wakulima wanapaswa kuchukua tahadhari.
Source: ITV habari
Kama lowasa aliwahi kutwambia kuwa angeleta mvua ya kutengeneza kwanini ccm wasilete ukame?Duuu hadi ukame unaletwa na Ma CCM?
Mkuu msema kweeeeriii ni mpenzi wa Mungu...sijawahi kuisikia tena hiiMkuu, bado kuna mahali umesikia hizo kauli zinaendelea kuzungumzwa?
Acha kukariri bwashee!Tatizo huwa TMA hawaaminiki sana...
Acha kukariri bwashee!
Dr Kijazi huwa hastaafu.....na yule wa tanapa pia au hawa huwa hawazeeki basi sawaMkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Dr Kijazi amesema kutakuwepo na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo Wakulima wanapaswa kuchukua tahadhari.
Source: ITV habari
Yeye ndio kaitia nuksi NchiMwendazake kaondoka na baraka za mvua.
Tuchukue tahadhari gani sasa? Maana tumezoea kuchukua tahadhari kama mvua zitakuwa kubwa. Mafuriko nk.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Dr Kijazi amesema kutakuwepo na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo Wakulima wanapaswa kuchukua tahadhari.
Source: ITV habari
Mwendazake kaondoka na baraka za mvua.
Ninavyoijui Dodoma mvua nyingi haiwezi fululiza, kawaida mwaka unaofuata mvua inapungua na unafuata kama miaka mine hivi ndipo mvua kubwa tenaTuchukue tahadhari gani sasa? Maana tumezoea kuchukua tahadhari kama mvua zitakuwa kubwa. Mafuriko nk.
Nchi ina wajinga wengi sanaYaani Kuna watu wanawaza Jpm kila uchao