johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,046
Ndio, ni mwaka wa wakupendwa wapiga kura!Hivi hii ni 2020!!
Ufipa changamkia fursa hiyo!Hivi hii ni 2020!!
Ufipa changamkia fursa hiyo!
Chiligati bado yupo?!Mzee Mgaya angalia Mizani ya Wiki hapo UTV (AzamTV) uone jinsi Luqman Maloto anavyoichanachana CCM mbele ya John Chiligati
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa maliasili na utalii Dr Kigwangalla amesema serikali imebadili sheria ya wanyamapori na sasa wananchi wataruhusiwa kufungua bucha za nyama za porini.
Kigwangala amesema serikali itatoa leseni za mashamba ya wanyamapori ( ranchi) na wamiliki wa mashamba hayo wataruhusiwa kukata leseni za Bucha ya kuuza nyamapori.
Source Star tv!
This is long overdueWaziri wa maliasili na utalii Dr Kigwangalla amesema serikali imebadili sheria ya wanyamapori na sasa wananchi wataruhusiwa kufungua bucha za nyama za porini.
Kigwangala amesema serikali itatoa leseni za mashamba ya wanyamapori ( ranchi) na wamiliki wa mashamba hayo wataruhusiwa kukata leseni za Bucha ya kuuza nyamapori.
Source Star tv!
Mambo mazito lazima nyumbu nao wachangie ujenziWaziri wa Maliasili na utalii Dr Kigwangalla amesema Serikali imebadili sheria ya wanyamapori na sasa wananchi wataruhusiwa kufungua bucha za nyama za porini.
Kigwangalla amesema Serikali itatoa leseni za mashamba ya wanyamapori ( ranchi) na wamiliki wa mashamba hayo wataruhusiwa kukata leseni za Bucha ya kuuza nyamapori.
Source Star tv!
Jambo jema Mh waziri vyema tuambiwe bei ya kitaru tafadhaliWaziri wa Maliasili na utalii Dr Kigwangalla amesema Serikali imebadili sheria ya wanyamapori na sasa wananchi wataruhusiwa kufungua bucha za nyama za porini.
Kigwangalla amesema Serikali itatoa leseni za mashamba ya wanyamapori ( ranchi) na wamiliki wa mashamba hayo wataruhusiwa kukata leseni za Bucha ya kuuza nyamapori.
Source Star tv!