johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Akichangia mjadala katika kipindi cha Kipima Joto Dr Kessy anasema tatizo kubwa au changamoto kubwa tuliyonayo Watanzania ni pale Mitihani yetu ya taifa inapopima uwezo wa mwanafunzi wa kukariri na siyo uelewa wake.
Hali hii imepelekea taifa kupata Wasomi wa Vyeti na siyo wataalamu na watafiti, amesema.
Chanzo: ITV
Hali hii imepelekea taifa kupata Wasomi wa Vyeti na siyo wataalamu na watafiti, amesema.
Chanzo: ITV