and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,114
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) anaemaliza muda wake Dr. Donald Kaberuka ndie anatajwa kuwa mrithi wa Mhe. Paul Kagame katika uchaguzi ujao.
Dr. Kaberuka ni mtu msomi mwenye PhD(mchumi) ana uzoefu wa kimataifa na kitaifa pia, amesaidia sana kuondoa shida Ebola Afrika Magharibi.
Dr. Kaberuka ni mtu msomi mwenye PhD(mchumi) ana uzoefu wa kimataifa na kitaifa pia, amesaidia sana kuondoa shida Ebola Afrika Magharibi.