Dr. Kaberuka ndie mrithi wa Kagame Rwanda

Dr. Kaberuka ndie mrithi wa Kagame Rwanda

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,114
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) anaemaliza muda wake Dr. Donald Kaberuka ndie anatajwa kuwa mrithi wa Mhe. Paul Kagame katika uchaguzi ujao.

Dr. Kaberuka ni mtu msomi mwenye PhD(mchumi) ana uzoefu wa kimataifa na kitaifa pia, amesaidia sana kuondoa shida Ebola Afrika Magharibi.
 
I hope that's not true..Kagame aendelee lakini ninavyomjua hawezi kukubali,lakini not that bad kuliko wale stupid dogs interahamwe.
 
Kagame anavyopenda madaraka sudhani kama atakubali kumwachia mtu mwingine labda kama atalazimishwa na sioni wa kumlazimisha.
 
mnatakia jamaa kifo.... kagame akisikia habari kama izi lazima ata mmaliza jamaa mapema kabisa!!!
 
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) anaemaliza muda wake Dr. Donald Kaberuka ndie anatajwa kuwa mrithi wa Mhe. Paul Kagame katika uchaguzi ujao.

Dr. Kaberuka ni mtu msomi mwenye PhD(mchumi) ana uzoefu wa kimataifa na kitaifa pia, amesaidia sana kuondoa shida Ebola Afrika Magharibi.
Donald_Kaberuka_2009_World_Economic_Forum_on_Africa.jpg
 
hamumtakii mema atawekwa ndani sasa hivi
 
mnatakia jamaa kifo.... kagame akisikia habari kama izi lazima ata mmaliza jamaa mapema kabisa!!!
Kagame anamkubali sana huyo jamaa inaonekana maana ni mwenzake.
 
dr. Kaberuka ni mtu makini na msomi pia ni alumni wa UDSM (kwa wasiojua) amechangia pakubwa mapinduzi ya uchumi wa Rwanda chini ya uongozi wa Kagame. Ninaamini Kagame hataona tabu kumkabidhi nchi
 
Sidhani kama alipigani vita huyu, kama ndiyo hawezi jua machungu ya nchi, nchi kama ya Rwanda bado inahitaji mpiganaji .
 
huyu dr. kaberuka ndo ataifanya Rwanda hasa kigali kama Geneva uchumi utapaa ajabu
 
Subiri muone Kagame atakavyo Mweka mbaroni, maana hatoachia madaraka.
 
Back
Top Bottom