Dr. Kaberuka ndie mrithi wa Kagame Rwanda

Dr. Kaberuka ndie mrithi wa Kagame Rwanda

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) anaemaliza muda wake Dr. Donald Kaberuka ndie anatajwa kuwa mrithi wa Mhe. Paul Kagame katika uchaguzi ujao.

Dr. Kaberuka ni mtu msomi mwenye PhD(mchumi) ana uzoefu wa kimataifa na kitaifa pia, amesaidia sana kuondoa shida Ebola Afrika Magharibi.

Kaberuka ni mtaalam sidhani kama anahitaji kuwa politician. Isitoshe kwa nature na situation ya nchi ya rwanda raisi asie mwanajeshi hawezi mudu kuongoza rwanda. Kagame amefanikiwa lakini it is not much easy kama unavoweza kudhani. Anatumia nguvu nyingi na ubabe na udictator mkubwa pamoja na kuwabagua wahutu maana hawaamini.
 
Huyu jamaa au Dr. Sezibera wa EAC ndo watakuja kumrithi kagame huko mbeleni
 
Dr. naona hataki tabu kaamua kujinyamazia yasije kumkuta ya Mmiliki wa TP Mazembe kule Congo DR
 
Wanyarwanda wanasema kagame bado ni chaguo lao. Watu wako confotabo na raisi wao, nyie mlioko tz hooo, dictator. Acheni tabia za kimarekani, wamarekani wenyewe walitokea wapi, maendeleo ndo yamewafikisha hapo kwenye demokrasia kiasi kwamba anajifanya mwalimu wa kila nchi. Demokrasia gani sasa kapeleka Libia, Iraq, Siria, Kuwait na kote alikopita kaharibu utulivu na utangamano wa watu anachota mafuta na kuuza silaha.
LAZIMA tuanze kuwapinga kwa nguvu zote hawa walioanzisha hii thread inaitwa dictator uchwara. Tusipokaa sawa, Marekani atapandia hapohapo na kutuharibia kama alivyofanya huko kwa waarabu na DR Ciongo.
 
Wanyarwanda wanasema kagame bado ni chaguo lao. Watu wako confotabo na raisi wao, nyie mlioko tz hooo, dictator. Acheni tabia za kimarekani, wamarekani wenyewe walitokea wapi, maendeleo ndo yamewafikisha hapo kwenye demokrasia kiasi kwamba anajifanya mwalimu wa kila nchi. Demokrasia gani sasa kapeleka Libia, Iraq, Siria, Kuwait na kote alikopita kaharibu utulivu na utangamano wa watu anachota mafuta na kuuza silaha.
LAZIMA tuanze kuwapinga kwa nguvu zote hawa walioanzisha hii thread inaitwa dictator uchwara. Tusipokaa sawa, Marekani atapandia hapohapo na kutuharibia kama alivyofanya huko kwa waarabu na DR Ciongo.
Amka ndugu kumekucha....hii ndoto sasa yatosha
 
Wanyarwanda wanasema kagame bado ni chaguo lao. Watu wako confotabo na raisi wao, nyie mlioko tz hooo, dictator. Acheni tabia za kimarekani, wamarekani wenyewe walitokea wapi, maendeleo ndo yamewafikisha hapo kwenye demokrasia kiasi kwamba anajifanya mwalimu wa kila nchi. Demokrasia gani sasa kapeleka Libia, Iraq, Siria, Kuwait na kote alikopita kaharibu utulivu na utangamano wa watu anachota mafuta na kuuza silaha.
LAZIMA tuanze kuwapinga kwa nguvu zote hawa walioanzisha hii thread inaitwa dictator uchwara. Tusipokaa sawa, Marekani atapandia hapohapo na kutuharibia kama alivyofanya huko kwa waarabu na DR Ciongo.
Well said brother
 
Ndo hivo Zitto anaenda marekani kwa Clinton and mapapet wao wakae na Sharif hamad na ajenda ya eti Magufuli dictator uchwara. Ole wake, Asituzingue.
 
Dr. naona hataki tabu kaamua kujinyamazia yasije kumkuta ya Mmiliki wa TP Mazembe kule Congo DR
Kwa Congo, drama yao ni balaa, Papa wemba kazawadiwa kifo, Kofi kawekwa behind bars, nachoka kabisa
 
Back
Top Bottom