kumuona tu elfu kumi haina kipimo wala ushauri..Jamaa kila unachokiona duniani ni dawa na dozi zote anazo. Ukimuuliza hata mkojo atakwambia namna ya kunywa ili upone. Ila kapiga na anaendelea kupiga pesa kibongobongo
kumuona tu elfu kumi haina kipimo wala ushauri..
Nimemuona leo anahubiri mahubiri biafra kinondoni.. waumini hawafiki hata 30.. kweli kila jambo na wakati.
Jamaa kila unachokiona duniani ni dawa na dozi zote anazo. Ukimuuliza hata mkojo atakwambia namna ya kunywa ili upone. Ila kapiga na anaendelea kupiga pesa kibongobongo