Ukijiita Dr. Kuna viambatisho vingine wenzako huwa wanaweka ili kuonyesha huo u-daktari ni wa kitu gani na umesomewa wapi mfano:
Dr. J. M. Kikwanji, Phd. Tourism & Comedy, au Dr. H. Munishi, MD.nk. Huo udokta wako unahusu nini au ni ule wa kuoteshwa na maruhani?