SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
JK, Dr. mwinyi,Mwamunyange na Shimbo wawe waungwana waachie ngazi kama alivyo fanya EL, vinginevyo tutawaondoa kwa nguvu ya umma.Kama wanabisha wajifanye ving'ang'anizi kama Mubarak.Uzuri ni kuwa milipuko hii inaanza kuwatia ujasiri wabongo waliokuwa wanafikiri wako salama kumbe wamezungukwa na hatari kila upande.Haya wale mavuvuzela wa CCM waliokuwa wanajivunia amani chini ya utawala wa ccm waseme tena upuuzi wao huu.Damu iliyomwagika kwa uzembe wa watawala wa nchii ndiyo ufunguo wa mlango wa ukombozi toka wakoloni weusi CCM.