Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Chedma wakiwa Arusha walisema nchi hii haikaliki je hii ndo madhara yake?
Sio madhara yake. Ndiyo dalili yake, kwani kwa mtu yeyote aliye makini ataona udhaifu wa hii serikali na ni rahisi kutabiri kuwa itawashinda...