Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
Nakubaliana nawe kuwa mazingira yanatofautiana. Lakini kwa mwelekeo huu wa mambo, toka Kagoda, Dowans, Meremeta, EPA, Mabomu mbagala na gongo la mboto, Mauaji Arusha, Ufisadi wa rada, wizi wa kura uchaguzi mkuu 2010, YALOTOKEA EGYPT yaweza kabisa kutokea TZ. Hali ya mambo inaandaa umma kwa ajili ya mambo kama ya Egypt na Tunisia.