Dr. Hussein Mwinyi Must Resign/get fired for Gongo la Mboto armory Inferno

No accountability under the leadeship of this CCM. Kupeana vyeo kwa kujuana ndio main problem. When something major like this happens, when people lose their lives, nobody can fire anyone. Sad sad sad. and still low information voters (majority) will vote for them again.
 
Tusiahangaike sana suluhisho si mtu fulani kujihuzuru.

Ni kuiondoa CCM na Vibaraka wake wote.

Uwepo wa CCM ni Maafa na Msiba kwa Taifa


 
Eti jana Kova anaenda kuweka sura lake kwenye TV na kuanza kusema ajali, ajali my ass, kitu kinatokea ndani ya miaka miwili eti ajali wawajibishwe
 
kwa hali ilivyo tanzania siku hii amani tunayosema tunayo ikiondoka tanzania inaweza kua nchi yenye machafuko kuliko nchi nyingine yoyote Afrika.
kwasababu ni kwamba tu watu hawajazinduka ila siku wakizinduka watahitaji kufidi hadi wakati huu ambao wapo usingizini.
 
Hussein must resign..


SIAMINI KAMA NI RAHISI HIVYO,MABOM Y MBAGALA YALITOSHA HUYU BWANA KUACHIA NGAZI LAKINI HAKUACHIA NA BADALA YAKE AKATEULIWA TENA KUONGOZA WIZARA ILE ILE NI NGUMU SANA KUJIUZULU TUSEME UKWELIWALA TUSILAZIMISHE MAMBO,WATANZANIA HATUJAWA NA UWEZO WA KUTOA MASHINIKIZO YA KIWANGO CHA MINISTER KURISIGN,


kama tungeweza tungeshaanza na JK siku nyingi
 
Tukio hili linaweza lisiwe ajali kama tunavyofikiria. Inaweza kuwa mkakati wa makusudi wa kuondoa fikra za Watanzania kwenye kujadili mambo ya msingi kama scandal za ufisadi (Dowans) na mustakabali wa katiba mpya na kutupelekea kujadili matokeo ya milipuko ya mabomu.l
 
Mzee Ruksa, alijiuzuru! mtoto Ruksa onyesha kumuenzi mzee kwa kujiuzuru. Utafundisha wengi kama akina Ngereja, IGP na Mwamnyange.
 
Tukio hili linaweza lisiwe ajali kama tunavyofikiria. Inaweza kuwa mkakati wa makusudi wa kuondoa fikra za Watanzania kwenye kujadili mambo ya msingi kama scandal za ufisadi (Dowans) na mustakabali wa katiba mpya na kutupelekea kujadili matokeo ya milipuko ya mabomu.l
 
It is very absurd to see the same mistake being allowed to occur repeatedly. Until now the president has not issued any statement on the catastrophe. Kikwete likes un-serious, jokes and dealing with issues lightly. He only like attending meetings (Kuuza sura), funerals and similar issues but no aspects that affect the big population. Example, while the country is undergoing a tense situation of power blackout he is attending the funerals, discovery of ancient human footsteps. He doesn't care how adversely economies people are affected by the power rationing. It is the same government through the minister (Mwinyi) that issued a statement that on no account should the explosion from the military base reoccur. However, just only 1.5 years since the last explosion we are witnessing yet another huge explosion. This means that Kikwete and his crue are never to be trusted again by Tanzanian on the basis of their wicked promises. This means that there no regular inspections at the military bases.

Shame on this government
 
Nchi hii ninamashaka sana na Jeshi letu kama limejijengea capacity ya uhakika kuweza ku manage vitu sensitive kama store za mabomu, the so called amani na utulivu have diverted the attention of our Defence Forces and the Government in general from investing in human capacity needed to handle such sensitive operations within the TPDF, Instead, they have invested most of their time in Politics , a good eaxample is Gen. NSIMBO who gave orders esp. to opposition parties just Before the October 31st 2010 General Elections , according to him the order aimed at maintainig peace and tranquility in the country (Nadhani habari za kiintellijensia zilimfikia) , General Nsimbo was highly supported by one of the presidential candidates. It is the support provided by the sisiem candidate that strongly backs, the politicization ??? of our army.
 
Ndugu zangu, hawa "wafalme" hawatajiuzulu kamwe bila shinikizo!!!! Mabomu yalilipuka Mbagala...... Je kuna sababu zozote za msingi kitu hichohicho kurudia gongolamboto????!! Serikali gani hii isiyoweza kujifunza kwa kiasi hiki???? Jamani hatuna Serikali????? Tutafute jinsi nyingine ya kulitoa genge la wazembe hili kama hatuwezi kufanya waliyofanya wenzetu wa Misri!!! We can't take the shit no more!!!!
 
Hizo intelijensia wangekuwa wanazitumia kwenye masuala kama haya nadhani wananchi wangekuwa salama, badala yake intelijensia zinatumika kuua raia wema. Wahusika lazima waachie ngazi. Uzembe huu utaendelea hadi lini? Mbagala tulisema ni bahati mbaya. Ina maana baada ya Mbagala wahusika hawakuchukua hatua katika kambi nyingine za jeshi? Au ndio hivyo tena nchi yetu acha kila kitu kijiendee. Kwa kuanzia Rais, Mkuu wa majeshi na Waziri wa ulinzi WAJIUZULU, kwani ndio hao hao ambao walikua katika nafasi hizo wakati wa ulipukaji wa mabomu ya Mbagala, na sasa kinatokea kitu cha aina hiyo hiyo miaka michache baada ya Mbagala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…