SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,328
- 2,217
Ninyi wana JF msipoangalia mtapoteza mwelekeo. Ni sawa kila mtu ana maoni na maono yake humu ndani lakini kuandika tu kwamba kuna dalili kuwa Mwinyi ndiye Rais ajaye na ni zamu ya Zanzibar vinginevyo tunavunja muungano, ndio iwe hoja. Mimi nilikuwa nadhani mtu akitoa hoja kama hiyo atoe sababu za maana na zenye mantiki. Kama kuna dalili azionyeshe ili watu tuchangie kwa weredi. Mtu unashindwa uchangie kuanzia wapi? Dalili ni zipi? Mtu anakuwa Rais wa nchi kwa dalili ama uwezo? Mtu anakuwa Rais wa nchi kwa zamu ama uwezo na kama ni hiyo zamu basi ni kwa nini awe mwinyi na wala siyo Maalim Seif, Juma Shamhuna, Balozi Seiffu idd, Nahodha ama hata Seif Khatibu? Mtoa mada angejaribu kutupatia dondoo hizo ili kuonyesha ni kwa nini Mwinyi na siyo kuanzisha thread tasa.
Mweeee.....!!
JK sijui alikua na uwezo gani hadi wakampendekeza na kumchagua mweeee.....!