Kati ya wewe na Madcheda mwenye unafuu wa wehu ni yupi i don't see the difference.Inawezekana ni wewe unayenekana mwehu manake wakuu wa mkoa wa Dar wengi wao huwa wanakuwa na tabia ya wehuwehu hivi.
Anachosema Gosbert ni utabiri lakini in a way siyo utabiri. Anajaribu kuangalia mazingira yaliyopo na ku-predict future kwa basis ambayo is more scientific than utabiri unaofanywa na kipenzi chako shekhe yahaya.