Dr. Hilderbrand Shayo: Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Mdondoaji,

You're always against unfairness lakini naona kama hauko fair kwa Dr Shayo.Naamini unafahamu kuwa ASILI ya PhD ni kumpatia mwanataaluma uwezo wa kufundisha.Actually,hilo neno lenyewe PhD lina tafsiri ya moja kwa moja ya mwalimu wa filosofia (philosophiae doctor).Wakati inatarajiwa kuwa mhitimu wa PhD atabobea kwenye fani aliyoamua ku-specialise,bado anaweza kuwa na uwanja mpana kutegemea na fani husika hususan kwenye sayansi za jamii.Ni muhimu pia kufahamu kwamba fani aliyopitia mwanataaluma kabla ya kuhitimu PhD (kwa maana ya shahada ya kwanza na ya uzamili) inaweza kumsaidia mwanataaluma huyo kutanua upeo wa fani anayozamia.

Sasa kama Dr Shayo ana BA ya Economics,na MA ya Development Studies (ambapo kuna masuala ya Economics pia) na kisha akachukua PhD ambapo research interest yake ilikuwa kwenye Economics pia (pamoja na sustainability and environment in the construction sector) kuna tatizo gani kwa mwanataaluma wa aina hiyo kuchukua nafasi ya kufundisha Economics open university ambapo wengi wa wanafunzi wake watakuwa wanasomea shahada ya kwanza na ya pili?On top of that,Dr Shayo ana experience kama assistant programme development officer for local government reform program under the PMO.Sasa pengine kabla ya kuhoji kwanini ameteuliwa kuwa mhadhiri mwandamizi wa Uchumi ingekuwa busara kuuliza ni eneo gani la Economics atakuwa anafundisha.What if atakuwa mhadhiri wa Duoble Economics kwa Undegraduates au Managerial Economics (OBS602 Kwa Open University of Tanzania) kwa Postgraduates?Kwa kufahamu kozi zinazotolewa na taasisi hiyo angalia link hii http://www.out.ac.tz/directorate/postgraduate/masters/masters.htm na http://www.out.ac.tz/prospective/admission.html#C2

Lakini pengine kukupa mwanga katika nachoongelea hapa jaribu kutembelea tovuti hii www.jobs.ac.uk kisha angalia person specifications zinazobainishwa na baadhi ya vyuo vinavyotangaza nafasi za kazi za wahadhiri.

Ni muhimu pia kukumbuka kuwa wakati sifa muhimu ya kuwa mhadhiri ni USOMI katika fani husika,kuwa mhadhiri mwandamizi,profesa msaidizi au profesa kamili ni mambo yanayotegemea zaidi UZOEFU unaoambatana na usomi wa mwanataaluma katika fani husika.

Ni rahisi kumkosoa Dr Shayo aliyemudu kufikia hatua ya juu kitaaluma (naam,PhD sio rahisi kama kupiga soga) na kuandika machapisho kadhaa ya kitaaluma ilhali wengi wetu tunafahamu mgogoro unaoikabili Tanzania kama taifa linapokuja suala la uandishi wa machapisho ya kitaaluma (njia nyepesi ya kuthibitisha hilo,tafuta kijitopiki chochote kile kisha anza literature review inayotegemea vyanzo kutoka Tanzania).

Let's be fair!

Mlalahoi ingawa umetuita wenzio wavivu wa kutumia teknolojia, mimi sijaona ulipotoa majibu fasaha. Hata wewe umepiga around the bush. Leta hapa publication list ya Dr. Shayo..tuone amepublish wapi na nini! au tupe hiyo link. Hata kama "sijasoma sana" I know msomi when I see one.

What I know, ni kwamba mtu kuwa mhadhiri mwandamizi, its all about publications. Simple! (unless Tanzania we use different standards). Unaweza kuwa na degree moja, lakini ukawa ume-publish machapisho mengi. Which can elevate you to professorship. Kwa upande wa Dr. Shayo no body is questioning his education-atleast not me. I know he worked so hard to be where he is (irrespective of where he studied). Ninachopinga ni hii ya kutumia umaskini wetu watanzania kujustify any mediocrity coming from the so called wasomi. Eti kwa vile hatuna walimu/wahadhiri wa kutosha basi inabidi tukubali hata tukiletewa wahadhiri feki! Please, we are past that mkuu.

I remember one day, jamaa pale MZUMBE alitaka kuwa promoted kwenye level ya Associate Professor..wakati this person alikuwa...na four articles published in four jounals za Tanzania! Alikuwa hajawahi publish beyond the boaders of our country. Well, I cant argue more..but nilipata maswali mengi kuliko majibu na hatima ya wasomi wetu!

Masanja
 
sasa nyie mnaombeza Dr.Shayo mmefanya nini? Ukweli ni kwamba jamaa amebobea katika uchumi. PhD yake ni ya uchumi kutoka london, England. Habari ndo hiyo.
 
Anothe book:Export Opportunities for Tanzanian Products in the United Kingdom and EU Market
Honey and Beeswax

by Hildebrand Shayo (Author)



Paperback

ISBN: 9780955102189



Availability:
If Item in stock, posted within 24 hours. Otherwise expected despatch within 5 to 15 working days.




Our Price: £99.99
RRP £99.99 , Save £0.00

link http://www.word-power.co.uk/books/e...-united-kingdom-and-eu-market-I9780955102189/

 
Dr.Shayo has authored about five books.
Hildebrand-Shayo


Follow this link:http://www.word-power.co.uk/author/Hildebrand-Shayo/
 
Mlalahoi ingawa umetuita wenzio wavivu wa kutumia teknolojia, mimi sijaona ulipotoa majibu fasaha. Hata wewe umepiga around the bush. Leta hapa publication list ya Dr. Shayo..tuone amepublish wapi na nini! au tupe hiyo link. Hata kama "sijasoma sana" I know msomi when I see one.

What I know, ni kwamba mtu kuwa mhadhiri mwandamizi, its all about publications. Simple! (unless Tanzania we use different standards). Unaweza kuwa na degree moja, lakini ukawa ume-publish machapisho mengi. Which can elevate you to professorship. Kwa upande wa Dr. Shayo no body is questioning his education-atleast not me. I know he worked so hard to be where he is (irrespective of where he studied). Ninachopinga ni hii ya kutumia umaskini wetu watanzania kujustify any mediocrity coming from the so called wasomi. Eti kwa vile hatuna walimu/wahadhiri wa kutosha basi inabidi tukubali hata tukiletewa wahadhiri feki! Please, we are past that mkuu.

I remember one day, jamaa pale MZUMBE alitaka kuwa promoted kwenye level ya Associate Professor..wakati this person alikuwa...na four articles published in four jounals za Tanzania! Alikuwa hajawahi publish beyond the boaders of our country. Well, I cant argue more..but nilipata maswali mengi kuliko majibu na hatima ya wasomi wetu!

Masanja


Nilitaka kumjibu lakini umenisaidia unaleta waalimu kuja kufundisha fani wasizozijua kisa eti tuna uhaba wa waalimu halafu akifika hapo anawafundisha vijana finyu matokeo yake tunazalisha taifa lisilokuwa na waatalamu makini kisa fulani anafaa kufundisha somo hilo.

Ninachogombana na jamaa ni hivi yeye si mchumi na sio mtu aliyebobea katika economics. Kama amesoma amesoma Economics kama somo na sio fani. When it comes PhD my friend unaanza from scratch to the end. Sasa yeye amesoma misitu na usimamizi wake unadhani atajua lolole kuhusiana na monetary policy???, Unadhani atajua kuhusiana na Keynesian economics, atajua kuhusiana na corporate governance. For god sake msifikiri watu wajinga jamani.

Kuhusu publications na sie pia tumepublish kama yeye (usidhani kama tunakaa humu tu kupiga soga)na hatuna haja kwenda kujulikana kwani mtu akitaka atatutafuta lakini hatutaki sifa (Haimaanishi namdharau vilevile maana i give credit for his efforts) but asijiite mtaalamu wa economics ajiite mtaalamu wa fani ya aliyeisomea bwana na sio economics. Mie nina rafiki yangu ni professa nigeria degree ya kwanza alisoma accountancy PhD amefanya management hata siku moja hajiiti yeye ni mtaalamu wa accountancy. Vilevile nina rafiki ya mwengine ni lecture wa finance yeye hajiiti mtaalamu wa physics maana alifanya PhD ya kwanza aerodynamics kisha akaja kufanya PhD ya Finance sasa amefyatua papers nyingi katika hiyo area kule amesahau kabisa.

Jamani tusimpe mtu credit asiyoideserve mbona watu hatuquestion kuhusu Beno Ndulu wakati anafanya madudu kibao pale BOT. Ni kwasababu inapokuja katika fani ya uchumi he deserve kuitwa mchumi aliyebobea, mbona hatuquestion kuhusu Lipumba juu ya kwamba ni mwanasiasa kwasababu inapokuja katika fani yake ni mtu aliyebobea na the same to this guy ajiite mtu aliyebobea katika misitu na sio uchumi na awafundishe kile anachokijua ili nchi izalishe wataalamu halisi na sio wataalamu shallow.
 
JF= Haters..lol

Hakuna haters ila tunaondoa kiza baadhi ya watu wanataka kututia nacho. Hatuna chuki na shayo tunalinda ada zetu za watoto wanaoenda kusoma OUT kisha ukimuuliza nini maana ya portfolio hajui!!!!! Usifikiri watu wana chuki na shayo bali tunachana ukweli na uwazi tuleteeni hiyo CV tunaisubiri kwa hamu.
 
I have met this guy. I understand that he is no genius and I am not here to praise him, but his achievements are considerable, infact as far as academics are concerned I am sure he has done more than about 905% of the people here despite his constant typos and modest natural endowments. I dont consider him to be the apex of Tanzanian intellect, but I also know that he is not the worst lecturer in Tanzania besides coming from one of the lowest ranked Unis the UK LSBU. I just think that he is being unfairly judged. There are a many who are much worse and nothing is said about them.. much much worse. This leads to one conclusion watu wanachuki.. so dont tell me about ada za watoto.. Ada wakati kuna ma lecturer wenye akili wanataka kuwa..mba hao watoto wenu ili wawape marks. CHuku tuu.. JF= Haters
 
I have met this guy. I understand that he is no genius and I am not here to praise him, but his achievements are considerable, infact as far as academics are concerned I am sure he has done more than about 905% of the people here despite his constant typos and modest natural endowments. I dont consider him to be the apex of Tanzanian intellect, but I also know that he is not the worst lecturer in Tanzania besides coming from one of the lowest ranked Unis the UK LSBU. I just think that he is being unfairly judged. There are a many who are much worse and nothing is said about them.. much much worse. This leads to one conclusion watu wanachuki.. so dont tell me about ada za watoto.. Ada wakati kuna ma lecturer wenye akili wanataka kuwa..mba hao watoto wenu ili wawape marks. CHuku tuu.. JF= Haters

Mkuu heshima mbele,

Tunachojaribu kuuliza ni kwa nini jamaa aitwe mchumi aliyebobea? Unajua mkuu, nikisoma bandiko lako napata ile "business as usual" ya watanzania. Kwamba kuna mediocre kibao..kwa hiyo hatuna haki ya ku-question uwezo wa muungwana Dr. Shayo. I think thats wrong. Ndo maana ya kusoma. Unajua mimi nilisoma shule mediocre (after all mzee wangu hakujua umuhimu wa elimu I can say) alinipeleka shule kuavoid asipelekwe mahakamani na serikali. Lakini leo mimi au wewe hatupeleki watoto shule kwa kuiogopa jamhuri, bali kwa kuamini kwamba elimu ndo silaha na nyenzo za wanetu.

Kama jamaa alivyosema, hapo juu. Dunia ya leo imebadilika. Hata TANZANIA! Ndo maana ukija hapa ukasema kwamba ulisoma England..watu watakuuliza chuo gani. Ukitoa jibu..watu watakwenda kwenye Guardian au Times online... kuangalia ranking ya hicho chuo! Upo? Definitely..kuna tofauti kati ya Westminster University na London School of Economics au Imperial College. Its a reality in the current world we live in. Ingawa zote ni PhD..lakini unfortunately..ndipo tumejikuta hapo.

So, here tunajiuliza Dr. Shayo anakwenda kufundisha OUT..watu wanauliza credentials zake..sio witch hunting hapa....these are very LEGIT questions. I repeat..we cant settle for mediocrity..simply because kwenye system..tuna vilaza wengine. Hapana. We have to do something. Mfano..Google Ndulu..kuanzia shule aliyosomea..publications zake..amefanya kazi wapi..and you will tell me..kwamba Ndulu ni mchumi aliyebobea.

Otherwise, I applaud Dr. Shayo kwa mafanikio yake ya kielimu. Ila msitake kutuaminisha kwamba kila anayeulizia credentials za jamaa ni hater. No way! Hakuna anayemhate jamaa.

Ukiona kesho Masanja nasema nakuja kuomba kazi ofisini kwako..be sure nitapanga vyeti vyangu before you..... Uone kama ukinihire..it will be value for money!
 
I have met this guy. I understand that he is no genius and I am not here to praise him, but his achievements are considerable, infact as far as academics are concerned I am sure he has done more than about 905% of the people here despite his constant typos and modest natural endowments. I dont consider him to be the apex of Tanzanian intellect, but I also know that he is not the worst lecturer in Tanzania besides coming from one of the lowest ranked Unis the UK LSBU. I just think that he is being unfairly judged. There are a many who are much worse and nothing is said about them.. much much worse. This leads to one conclusion watu wanachuki.. so dont tell me about ada za watoto.. Ada wakati kuna ma lecturer wenye akili wanataka kuwa..mba hao watoto wenu ili wawape marks. CHuku tuu.. JF= Haters

Kama umesoma post iliyopita nimesema I appreciate alichokipata katika kusoma kwake ijapokuwa mie sijui ameipata wapi phd yake but let's go back to your post itseems kwanza unamuona Shayo Kama lecturer in short sio kweli usitudanganye hapa jamvini jamaa ni senior research fellow anasaidia kufanya utafiti so sets your record straight usitudanganye.

Pili kumuita jamaa mchumi aliyebobea ni kosa na sio sahihi kwani sijaona publication yake moja katika uchumi sasa kihivyo tuna ni mediocre kwani mnampa mtu title asiyostahili. Halafu. Anakuwa senior lecture inamaana atakuwa anafundisha core subject za economics na pia kuwa mmoja wa wajumbe panel ya somo sasa hiyo ni hatari kwani somo linahitaji wataalamu na sio mediocre na when it comes kuzalisha wasomi ndio matokeo mna outputs mbovu zinazokosa ajira maofisini hiyo sio hatin Bali ni matokeo ya kuajiri mtu wa DS afundishe uchumi unategemea wanafunzi wataiva? Halafu mnalalamika kazi wanachukua wakenya na wazimbabwe wakati product zetu ndio uozo????
 
Mlalahoi ingawa umetuita wenzio wavivu wa kutumia teknolojia, mimi sijaona ulipotoa majibu fasaha. Hata wewe umepiga around the bush. Leta hapa publication list ya Dr. Shayo..tuone amepublish wapi na nini! au tupe hiyo link. Hata kama "sijasoma sana" I know msomi when I see one.

What I know, ni kwamba mtu kuwa mhadhiri mwandamizi, its all about publications. Simple! (unless Tanzania we use different standards). Unaweza kuwa na degree moja, lakini ukawa ume-publish machapisho mengi. Which can elevate you to professorship. Kwa upande wa Dr. Shayo no body is questioning his education-atleast not me. I know he worked so hard to be where he is (irrespective of where he studied). Ninachopinga ni hii ya kutumia umaskini wetu watanzania kujustify any mediocrity coming from the so called wasomi. Eti kwa vile hatuna walimu/wahadhiri wa kutosha basi inabidi tukubali hata tukiletewa wahadhiri feki! Please, we are past that mkuu.

I remember one day, jamaa pale MZUMBE alitaka kuwa promoted kwenye level ya Associate Professor..wakati this person alikuwa...na four articles published in four jounals za Tanzania! Alikuwa hajawahi publish beyond the boaders of our country. Well, I cant argue more..but nilipata maswali mengi kuliko majibu na hatima ya wasomi wetu!

Masanja

Masanja,

Uvivu ni pamoja na kutegemea watu wengine wakufanyie kazi unayoweza kuifanya mwenyewe.Haina neno lakini,baadhi ya publications za Dr Shayo ni hizi hapa.


1. Nature, Underlying Factors and Impact of Child Labour in Tanzania, The - Shayo, Hildebrand
Ordered upon request, usually dispatched within 3 - 7 days
Paperback - Published 4 April 2007
publisher Hildebrand Ezekiel Shayo PhD
Price £50.00


2. Tanzania: The Truth About Creation of National Parks - Shayo, Hildebrand
Ordered upon request, usually dispatched within 3 - 7 days
Paperback - Published 30 March 2007
publisher Hildebrand Ezekiel Shayo PhD
Price £450.00


3. Wood Use in Buildings and Furniture Making in Tanzania - Ezekiel, Shayo Hildebrand
Ordered upon request, usually dispatched within 3 - 7 days
Paperback - Published 29 July 2006
publisher Hildebrand Ezekiel Shayo PhD
Price £20.00


4. Lost Domain, The: Tanzania's Vanishing Forest - Hildebrand, Ezekiel Shayo
Ordered upon request, usually dispatched within 3 - 7 days
Paperback - Published 30 September 2005
publisher Hildebrand Ezekiel Shayo PhD

Forestry governance in limbo in Tanzania: A case study of a supply chain of the indigenous hardwood timber,timber trade and procurement code, RICS Research paper series, Volume 6, Number 5 (May 2006) available at http://www.rics.org/site/download_feed.aspx?fileID=4524&fileExtension=PDF

Export Opportunities for Tanzanian Products in the United Kingdom and EU Market: Selected Processed Food Products (coffee, Tea, Edible Nuts, Dried Fruits and Alcohol): v. 1
By Hildebrand Shayo

Export Opportunities for Tanzanian Products in the United Kingdom Market: Spices, Fruits and Vegetables and Flowers: v. 1
By Herbert Robinson and Hildebrand Shayo

Export Opportunities for Tanzanian Products in the United Kingdom and EU Market: Honey and Beeswax: v. 1
By Hildebrand Shayo

Economic Benefits of Training and Employing Previously Unemployed Local People: A Joint Project with Bovis Lend Lease by Hildebrand Shayo and John Hampson (Paperback - Feb. 9, 2007)

The Nature, Underlying Factors and Impact of Child Labour in Tanzania
by Hildebrand Shayo
Format: Paperback 198 pages
Published: 04/04/2007
£50.00


Sijui uko nchi gani,lakini kama ni Tanzania basi nenda East Africana section ya UDSM Library utakuta theses za BA na MA za Dr Shayo.

And yes,I agree with you kuwa japo hujasoma sana lakini you know msomi when you see one.Unfortunately,images,just like impressions could be deceptive,and what you see does not necessarily tell you in details about it.

Stop hating,start rating!
 
Kitabu ni £ 450!!!!! mh ni kitabu au kozi?

Haya publication ya economics ipi hiyo project?
 
Nilitaka kumjibu lakini umenisaidia unaleta waalimu kuja kufundisha fani wasizozijua kisa eti tuna uhaba wa waalimu halafu akifika hapo anawafundisha vijana finyu matokeo yake tunazalisha taifa lisilokuwa na waatalamu makini kisa fulani anafaa kufundisha somo hilo.

Ninachogombana na jamaa ni hivi yeye si mchumi na sio mtu aliyebobea katika economics. Kama amesoma amesoma Economics kama somo na sio fani. When it comes PhD my friend unaanza from scratch to the end. Sasa yeye amesoma misitu na usimamizi wake unadhani atajua lolole kuhusiana na monetary policy???, Unadhani atajua kuhusiana na Keynesian economics, atajua kuhusiana na corporate governance. For god sake msifikiri watu wajinga jamani.

Kuhusu publications na sie pia tumepublish kama yeye (usidhani kama tunakaa humu tu kupiga soga)na hatuna haja kwenda kujulikana kwani mtu akitaka atatutafuta lakini hatutaki sifa (Haimaanishi namdharau vilevile maana i give credit for his efforts) but asijiite mtaalamu wa economics ajiite mtaalamu wa fani ya aliyeisomea bwana na sio economics. Mie nina rafiki yangu ni professa nigeria degree ya kwanza alisoma accountancy PhD amefanya management hata siku moja hajiiti yeye ni mtaalamu wa accountancy. Vilevile nina rafiki ya mwengine ni lecture wa finance yeye hajiiti mtaalamu wa physics maana alifanya PhD ya kwanza aerodynamics kisha akaja kufanya PhD ya Finance sasa amefyatua papers nyingi katika hiyo area kule amesahau kabisa.

Jamani tusimpe mtu credit asiyoideserve mbona watu hatuquestion kuhusu Beno Ndulu wakati anafanya madudu kibao pale BOT. Ni kwasababu inapokuja katika fani ya uchumi he deserve kuitwa mchumi aliyebobea, mbona hatuquestion kuhusu Lipumba juu ya kwamba ni mwanasiasa kwasababu inapokuja katika fani yake ni mtu aliyebobea na the same to this guy ajiite mtu aliyebobea katika misitu na sio uchumi na awafundishe kile anachokijua ili nchi izalishe wataalamu halisi na sio wataalamu shallow.

All it reads is HATING.Hujafanya jitihada yoyote ya kufahamu Dr Shayo atafundisha somo gani hapo Open University lakini tayari umesha-conclude kuwa "anakuja kufundisha fani asiyojua".You know what's funny about your assertion?Ni kana kwamba Dr Shayo kaanzisha chuo atakachokuwa anafundisha "fani asiyojua" wakati ukweli ni kwamba it's OUT waliompatia ajira hiyo baada ya ku-match vigezo vya relevant vacancy na sifa za Dr Shayo.Hakujiajiri OUT bali ameajiriwa.If you're not happy with that,well,the best I could have advised you ni kukata rufaa against his appointment.All the best katika hilo.

As to questioning academic credentials,kuna tofauti ya questioning ya lay man na mtu anayejua anach-question.For those who have been to a higher learning institution,criticism kwenye credentials za "msomi" inatarajiwa itokane na mapungufu ya mtizamo wa kitaaluma wa msomi husika,aidha katika written or/and oral presentations (including publications).

Sasa upinzani wote unaoonyeshwa dhidi ya Dr Shayo hauonyeshi kwamba mwanataaluma huyo ame-corrupt data za utafiti flani,au ameonyesha methodological or theoretical flaws katika tafiti zake au machapisho yake.Kama sio chuki binafsi (au wivu) ni nini basi!?
 
Kitabu ni £ 450!!!!! mh ni kitabu au kozi?

Haya publication ya economics ipi hiyo project?

You see!

Umehitaji publications,umeletewa hujaridhika sasa umehamia kwenye kuhoji bei ya publications zake!

Kama huamini angalia hapa http://www.thebookseller.com/documents/POW/11.05.07.pdf
au hapa
[ame="http://www.amazon.ca/Tanzania-Truth-About-Creation-National/dp/0955102146/ref=sr_1_30?ie=UTF8&s=books&qid=1267310205&sr=1-30"]Tanzania: The Truth About Creation of National Parks: Amazon.ca: Hildebrand Shayo: Books[/ame]

Na nani alokwambia ukiwa economist huruhusiwi kuandika kitabu kinachohusu maeneo mengine?By the way,hivi economics kwako ni nini hasa?Is it not the science which studies human behaviour as a relationship between ends and scarce means which have alternative uses (according to Lionnel Robbins,An Essay on the Nature and Significance of Economic Science,London: McMillan and Co,1945)?

Na BAADHI ya Subdisciplines of economics
Attention economics
Behavioural economics
Bioeconomics
Contract theory
Development economics
Econometrics
Economic geography
Economic history
Economic sociology
Education economics
Energy economics
Entrepreneurial Economics
Environmental economics
Feminist economics
Financial economics
Green economics
Industrial organization
Information economics
International economics
Institutional economics
Labor economics
Law and Economics
Managerial economics
Mathematical economics
Monetary economics
Public finance
Public economics
Real estate economics
Regional Science
Resource economics
Socialist economics
Welfare economics

Sasa huhitaji kuwa na cheti cha darasa la saba kutambua relevancy ya machapisho ya Dr Shayo kwa Economics.
 
All it reads is HATING.Hujafanya jitihada yoyote ya kufahamu Dr Shayo atafundisha somo gani hapo Open University lakini tayari umesha-conclude kuwa "anakuja kufundisha fani asiyojua".You know what's funny about your assertion?Ni kana kwamba Dr Shayo kaanzisha chuo atakachokuwa anafundisha "fani asiyojua" wakati ukweli ni kwamba it's OUT waliompatia ajira hiyo baada ya ku-match vigezo vya relevant vacancy na sifa za Dr Shayo.Hakujiajiri OUT bali ameajiriwa.If you're not happy with that,well,the best I could have advised you ni kukata rufaa against his appointment.All the best katika hilo.

As to questioning academic credentials,kuna tofauti ya questioning ya lay man na mtu anayejua anach-question.For those who have been to a higher learning institution,criticism kwenye credentials za "msomi" inatarajiwa itokane na mapungufu ya mtizamo wa kitaaluma wa msomi husika,aidha katika written or/and oral presentations (including publications).

Sasa upinzani wote unaoonyeshwa dhidi ya Dr Shayo hauonyeshi kwamba mwanataaluma huyo ame-corrupt data za utafiti flani,au ameonyesha methodological or theoretical flaws katika tafiti zake au machapisho yake.Kama sio chuki binafsi (au wivu) ni nini basi!?
kelele zetu ni yeye kuitwa mchumi aliyebobea wakati ni upuuzi mtupu na tukianza kupitia machapisho I am pretty sure there will both theoretical and methodological flaws.

Tuleteeni cv yake basi tuione maana haipatikani online na kuhusu paper nitaanza kuicriticise maana naisoma taratibu nikimaliza nitakuletea majibu yake soon
 
kelele zetu ni yeye kuitwa mchumi aliyebobea wakati ni upuuzi mtupu na tukianza kupitia machapisho I am pretty sure there will both theoretical and methodological flaws.

Tuleteeni cv yake basi tuione maana haipatikani online na kuhusu paper nitaanza kuicriticise maana naisoma taratibu nikimaliza nitakuletea majibu yake soon

Mwenyekiti Mao alisema No research no right to speak.Kama huna CV yake,sasa kinachopelekea ku-question credentials zake ni nini?Kwanini usijishughulishe kuitafuta hiyo CV,nyambulisha mapungufu yake kisha ndio utueleze nini kinachokupa msimamo ulionao?

By the way,CV unayotaka ni ipi?Professional,Academic au Skilled?Si umeshaambiwa ana Bachelor of Arts kwenye Economics,Master of Arts kwenye Development Studies,na PhD yake ni katika mambo ya uchumi as well.Au unahitaji na alisoma shule ipi ya msingi na sekondari?

Hivi kuna upuuzi mkubwa zaidi ya kuhitimisha kuwa kuna methodological/theoretical flaws kwenye publications kabla hujazisoma.
 
Nimeiona ni pound 450 lakini I am anxious to see why kuuzwa bei hiyo. Tuje katika jamaa forestry inaangukia branch ipi ya economics? Pia hebu tuambie wapi amepublish katika journal za economics let kupresent katika conference za economics mie simchukii nataka kufahamu mchumi wetu aliyebobea na bado naisoma working paper yake (maana haijakuwa accepted kokote zaidi ya lsbu).
 
Back
Top Bottom