Dr. Hilderbrand Shayo: Mhadhiri Mwandamizi Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Wewe mchokozi masanja kwanini usigoogle au kutumia search engine zenginezo kupata detail za huyu jamaa mie nimekuta jamaa yupo London South Bank University anafundisha department of engineering. Sitaki katika hoja ya hadhi ya chuo naogopa wapenzi wake wasije kunimeza but in short it is a bit suspicious chuo hata katika rankings kinashika mkia in UK.

Mgoogle jamaa unaweza kubahatika kupata paper yake moja ya economics


Hahahahah...mkuu..hapana bwana hili ni swali legit. Najua na yeye anaingia humu.
Unajua kama umeamua kuwa public figure kwa kutoa comments kwenye maswala yanayolihusu taifa letu na watu wake kama huyu muungwana, basi hatuna budi kukujua wewe ni nani-kitaaluma!. Kwa hiyo naomba tena mwenye CV ya jamaa yetu ailete hapa. Nimeuliza google nimeona yuko na university moja matata sana ya London South Bank. Mabyo iko ranked kwenye vyuo vya UK. Maana kuna vingine tunavisikia redioni wakati hata kwenye ranking havipi ati!

Hebu tupeni CV yake. Maana sisi wasukuma tumeshaambiwa ndo tunaongoza kwa PhD fake, hatutaki kuwaambukiza wengine ;-)

Masanja
 
London South Bank ni chuo kinaaminika,na kina wataalamu kuliko hata UDSM.
Huyu Bwana Shayo tru alikuwa hapo,kuna bwana alisoma pale anamjua.
Sijui mnataka nini?
 
Unaweza kuwa umesoma injinia na ukawa unafundisha Economics jaribu kutazama vyuo mbalimbali kuna wachumi ambao degree zao za kwanza zilikuwa ni applied science na sasa wanafundisha economics

Nakubaliana na wewe 100% but here is big question ambayo inaletaga utata wenzie wakitoka engineering huja economics wakatandika PhD nyengine ya economics ili waweze kuwa na uhakika wanachokisema but bwana mkubwa hana article hata moja katika economics let alone PhD nyengine sasa swali linakuja alisomea wapi uchumi au alisomea undergraduate na Masters?

Hebu Tizama hawa watu halafu utaelewa nasema nini!!!

http://www.lums.lancs.ac.uk/accounting/profiles/pradeep-yadav/

http://mitsloan.mit.edu/faculty/detail.php?in_spseqno=13395&co_list=F

Pata flavour kidogo mzee
 
London South Bank ni chuo kinaaminika,na kina wataalamu kuliko hata UDSM.
Huyu Bwana Shayo tru alikuwa hapo,kuna bwana alisoma pale anamjua.
Sijui mnataka nini?

Kusoma nae hakumaanishi kuwa jamaa ni mchumi aliyebobea jamani msichafue fani za watu. Profes Lipumba naweza kusema ni mchumi aliyebobea but sio huyu hataka kidogo
 
Afadhali huyu.. kuna wapayukaji wengi humu kazi kuongea tuu lakini kwenda kujenga taifa hawawezi... full kubeba maboksi amerika na kuongea sana JF
 
Kusoma nae hakumaanishi kuwa jamaa ni mchumi aliyebobea jamani msichafue fani za watu. Profes Lipumba naweza kusema ni mchumi aliyebobea but sio huyu hataka kidogo
Jamaa ni msomi aliyebobea kweli amesoma Ulaya mie namkubali sana.
 
Du jamani sasa tusitie chumvi sana katika mambo. Ninachofahamu Dr. Hildebrand Shayo alisoma B.A. (Economics), then M.A (Development Studies) vyote UDSM, then nikasikia yuko U.K akifanya PhD na ninadhani haihusiani direct na masuala ya Uchumi, vinginevyo kama kuna ambaye hapa anafahamu tittle ya PhD thesis yake aiangushe hapa halafu to google!! Kwa wale ambao wame google na wameambulia kapa basi nina mashaka kiasi!!!

Sasa sijaelewa pale OUT ni Senior Lecture au ni Tutorial Assistant???!! Maana hata kwa Tutorial Assistant anahitajika awe na Msc (Economics) or M.A (Economics)!!! Atu tusimhukumu sana, tumwombe atupe data zake maana najua ni member mzoefu sana hapa na alijitahidi kujitetea sana kwenye ile thread ndani ya Celebrity Forum japo pale najua wabaya wake walimlenga zaidi.

Tusiandikie mate wino ungalipo, Dr. Shayo uje hapa utuweke sawa ili kuukata mzizi wa fitina.

Vinginevyo nakutakia kila la heri, na pengine unaweza pia pata ile kazi uliyoomba na kufanya interview. Kama ulifaulu basi nafikiri vetting iko katika process. Keep it up kwa kuamua kurudi kuja kulitumikia taifa letu.
 
Du jamani sasa tusitie chumvi sana katika mambo. Ninachofahamu Dr. Hildebrand Shayo alisoma B.A. (Economics), then M.A (Development Studies) vyote UDSM, then nikasikia yuko U.K akifanya PhD na ninadhani haihusiani direct na masuala ya Uchumi, vinginevyo kama kuna ambaye hapa anafahamu tittle ya PhD thesis yake aiangushe hapa halafu to google!! Kwa wale ambao wame google na wameambulia kapa basi nina mashaka kiasi!!!

Sasa sijaelewa pale OUT ni Senior Lecture au ni Tutorial Assistant???!! Maana hata kwa Tutorial Assistant anahitajika awe na Msc (Economics) or M.A (Economics)!!! Atu tusimhukumu sana, tumwombe atupe data zake maana najua ni member mzoefu sana hapa na alijitahidi kujitetea sana kwenye ile thread ndani ya Celebrity Forum japo pale najua wabaya wake walimlenga zaidi.

Tusiandikie mate wino ungalipo, Dr. Shayo uje hapa utuweke sawa ili kuukata mzizi wa fitina.

Vinginevyo nakutakia kila la heri, na pengine unaweza pia pata ile kazi uliyoomba na kufanya interview. Kama ulifaulu basi nafikiri vetting iko katika process. Keep it up kwa kuamua kurudi kuja kulitumikia taifa letu.

Asante mzee kwa kutudondoshea CV kidogo maana wengine tulianza kumuona michuzi nikasoma makala mbili zikaniboa sijasoma tena makali zake.Kama amesoma economics basi anaweza kuwafundisha wanafunzi undergraduate economics but tusimwite mchumi aliyebobea please fani hiyo tuiheshimu wanawani!!!
 
Du jamani sasa tusitie chumvi sana katika mambo. Ninachofahamu Dr. Hildebrand Shayo alisoma B.A. (Economics), then M.A (Development Studies) vyote UDSM, then nikasikia yuko U.K akifanya PhD na ninadhani haihusiani direct na masuala ya Uchumi, vinginevyo kama kuna ambaye hapa anafahamu tittle ya PhD thesis yake aiangushe hapa halafu to google!! Kwa wale ambao wame google na wameambulia kapa basi nina mashaka kiasi!!!

Sasa sijaelewa pale OUT ni Senior Lecture au ni Tutorial Assistant???!! Maana hata kwa Tutorial Assistant anahitajika awe na Msc (Economics) or M.A (Economics)!!! Atu tusimhukumu sana, tumwombe atupe data zake maana najua ni member mzoefu sana hapa na alijitahidi kujitetea sana kwenye ile thread ndani ya Celebrity Forum japo pale najua wabaya wake walimlenga zaidi.

Tusiandikie mate wino ungalipo, Dr. Shayo uje hapa utuweke sawa ili kuukata mzizi wa fitina.

Vinginevyo nakutakia kila la heri, na pengine unaweza pia pata ile kazi uliyoomba na kufanya interview. Kama ulifaulu basi nafikiri vetting iko katika process. Keep it up kwa kuamua kurudi kuja kulitumikia taifa letu.

Ebwana mbona kuna mdau anasema kuwa muungwana hana BA Economics bali alisoma ni somo la economics inakuwaje mazee??

Pili tunamkaribisha jamvini tutete
 
Thats very good.

Hivi jamaa amesoma wapi degree zake?

Jamani nauliza maana siku hizi Tanzania tunadanganywa sana na "hawa wasomi waliobobea". Wanaenda wanadaka degree zao kwenye vyuo vya "voda fasta" wanakuja kama ma-dr kushape sera za nchi yetu kama akina Nagu na Nchimbi. Ofcourse..once beaten..twice shy.

So wenye CV ya huyu daktari aliyebobea..waimwage hapa!

Masanja,

Mnadanganywa nyie wavivu wa kutumia teknolojia luluki zilizopo kuhakiki mambo.Kabla ya kuomba CV ya Dr Shayo kwanini usijihangaishe japo kidogo ku-google jina lake?
 
Labda utazame kwenye google utaweza kuona jindi gani watu wanaweza kusoma fani tofauti sana
 
Ni miongoni mwa watanzania wachache sana waliobobea katika fani ya uchumi.

Mwanamalundi acha utoto tafadhali

Unanikumbusha sasa kauli ya Mwl Nyerere aliyoitoa Mbeya siku ya kilele cha sikukuu ya Wafanyakazi,May 1,1995,alisema (nanukuru) "mtu mpumbavu,akikuambia neno la kipumbavu,na wewe unajua ni la kipumbavu lkn ukalikubali na kulifanyia kazi basi wewe ndiyo mpumbavu"

Therefore,Mwanamalundi Great thikers sio wa Pumbavu na ndiyo maana hawawezi kukubali haya"maupupu" yako

Briefly,Dr Shayo ni msomi kama hawa wengine lakini hilo kuwa kabobea halipo!hata kwenye website za bure kama Google au asks.com kazi za Shayo hazipo,sasa hiyo kama kabobea umelitoa wapi wewe?
 
Acha uvivu si-ugogle jina lake?
Ok follow the following link and see one of his published work: http://www.rics.org/site/download_feed.aspx?fileID=4524&fileExtension=PDF -

We mpuuzi kweli unadhani mie siku google hilo jina lake? For your information what you have sent it here inapatikana katika vitabu vyake viwili vya Forestry Management vifuatavyo:

The Truth About Creation of National Parks.

Link hii http://www.word-power.co.uk/books/tanzania-I9780955102141/

The Lost Domain: Tanzania's Vanishing Forest (Paperback)

Link hii: [ame="http://www.amazon.co.uk/Lost-Domain-Tanzanias-Vanishing-Forest/dp/0955102103"]The Lost Domain: Tanzania's Vanishing Forest: Amazon.co.uk: Ezekiel Shayo Hildebrand: Books[/ame]

Haya ukitazama hapa hata paper aliyoiandika anazungumzia foresty management it has nothing to with public governance nor corporate governance. That is forestry branch of development science sasa na yeye ndio mchumi aliyebobea for god sake please kaeni kimya msiofahamu nini economics. Essential economics involve three main canons which involve managing limited resources to meet unlimited wants. Now kuna several economics models zinatumika kuendana na maswala hayo.

Hatukatai forestry pia kuna economics but its level of economics lies in forestry management and not public management and corporate management
 
Sitashangaa akawa mshauri wa rais katika masuala ya uchumi!!!! maana kazi kweli kweli!!!
 
Du jamani sasa tusitie chumvi sana katika mambo. Ninachofahamu Dr. Hildebrand Shayo alisoma B.A. (Economics), then M.A (Development Studies) vyote UDSM, then nikasikia yuko U.K akifanya PhD na ninadhani haihusiani direct na masuala ya Uchumi, vinginevyo kama kuna ambaye hapa anafahamu tittle ya PhD thesis yake aiangushe hapa halafu to google!! Kwa wale ambao wame google na wameambulia kapa basi nina mashaka kiasi!!!

Sasa sijaelewa pale OUT ni Senior Lecture au ni Tutorial Assistant???!! Maana hata kwa Tutorial Assistant anahitajika awe na Msc (Economics) or M.A (Economics)!!! Atu tusimhukumu sana, tumwombe atupe data zake maana najua ni member mzoefu sana hapa na alijitahidi kujitetea sana kwenye ile thread ndani ya Celebrity Forum japo pale najua wabaya wake walimlenga zaidi.

Tusiandikie mate wino ungalipo, Dr. Shayo uje hapa utuweke sawa ili kuukata mzizi wa fitina.

Vinginevyo nakutakia kila la heri, na pengine unaweza pia pata ile kazi uliyoomba na kufanya interview. Kama ulifaulu basi nafikiri vetting iko katika process. Keep it up kwa kuamua kurudi kuja kulitumikia taifa letu.
KAMA KAOMBA KAZI HALAFU KALETA HABARI HAPA KUWA NI LECTURER OUT SI ATAKUWA ANAINGILIA TARATIBU ZA AJIRA?

KAMA KAANDIKA MAMBO YA MISITU NIMEONA SUA WANATAKA WAHADHIRI,NA UDOM NA UDSM WANATAKA SANA WAHADHIRI BORA AENDE HUKU KULIKO OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA AMBAO wanauza mitihani.
 
We mpuuzi kweli unadhani mie siku google hilo jina lake? For your information what you have sent it here inapatikana katika vitabu vyake viwili vya Forestry Management vifuatavyo:

The Truth About Creation of National Parks.

Link hii http://www.word-power.co.uk/books/tanzania-I9780955102141/

The Lost Domain: Tanzania's Vanishing Forest (Paperback)

Link hii: The Lost Domain: Tanzania's Vanishing Forest: Amazon.co.uk: Ezekiel Shayo Hildebrand: Books

Haya ukitazama hapa hata paper aliyoiandika anazungumzia foresty management it has nothing to with public governance nor corporate governance. That is forestry branch of development science sasa na yeye ndio mchumi aliyebobea for god sake please kaeni kimya msiofahamu nini economics. Essential economics involve three main canons which involve managing limited resources to meet unlimited wants. Now kuna several economics models zinatumika kuendana na maswala hayo.

Hatukatai forestry pia kuna economics but its level of economics lies in forestry management and not public management and corporate management

Mdondoaji,

You're always against unfairness lakini naona kama hauko fair kwa Dr Shayo.Naamini unafahamu kuwa ASILI ya PhD ni kumpatia mwanataaluma uwezo wa kufundisha.Actually,hilo neno lenyewe PhD lina tafsiri ya moja kwa moja ya mwalimu wa filosofia (philosophiae doctor).Wakati inatarajiwa kuwa mhitimu wa PhD atabobea kwenye fani aliyoamua ku-specialise,bado anaweza kuwa na uwanja mpana kutegemea na fani husika hususan kwenye sayansi za jamii.Ni muhimu pia kufahamu kwamba fani aliyopitia mwanataaluma kabla ya kuhitimu PhD (kwa maana ya shahada ya kwanza na ya uzamili) inaweza kumsaidia mwanataaluma huyo kutanua upeo wa fani anayozamia.

Sasa kama Dr Shayo ana BA ya Economics,na MA ya Development Studies (ambapo kuna masuala ya Economics pia) na kisha akachukua PhD ambapo research interest yake ilikuwa kwenye Economics pia (pamoja na sustainability and environment in the construction sector) kuna tatizo gani kwa mwanataaluma wa aina hiyo kuchukua nafasi ya kufundisha Economics open university ambapo wengi wa wanafunzi wake watakuwa wanasomea shahada ya kwanza na ya pili?On top of that,Dr Shayo ana experience kama assistant programme development officer for local government reform program under the PMO.Sasa pengine kabla ya kuhoji kwanini ameteuliwa kuwa mhadhiri mwandamizi wa Uchumi ingekuwa busara kuuliza ni eneo gani la Economics atakuwa anafundisha.What if atakuwa mhadhiri wa Duoble Economics kwa Undegraduates au Managerial Economics (OBS602 Kwa Open University of Tanzania) kwa Postgraduates?Kwa kufahamu kozi zinazotolewa na taasisi hiyo angalia link hii http://www.out.ac.tz/directorate/postgraduate/masters/masters.htm na http://www.out.ac.tz/prospective/admission.html#C2

Lakini pengine kukupa mwanga katika nachoongelea hapa jaribu kutembelea tovuti hii www.jobs.ac.uk kisha angalia person specifications zinazobainishwa na baadhi ya vyuo vinavyotangaza nafasi za kazi za wahadhiri.

Ni muhimu pia kukumbuka kuwa wakati sifa muhimu ya kuwa mhadhiri ni USOMI katika fani husika,kuwa mhadhiri mwandamizi,profesa msaidizi au profesa kamili ni mambo yanayotegemea zaidi UZOEFU unaoambatana na usomi wa mwanataaluma katika fani husika.

Ni rahisi kumkosoa Dr Shayo aliyemudu kufikia hatua ya juu kitaaluma (naam,PhD sio rahisi kama kupiga soga) na kuandika machapisho kadhaa ya kitaaluma ilhali wengi wetu tunafahamu mgogoro unaoikabili Tanzania kama taifa linapokuja suala la uandishi wa machapisho ya kitaaluma (njia nyepesi ya kuthibitisha hilo,tafuta kijitopiki chochote kile kisha anza literature review inayotegemea vyanzo kutoka Tanzania).

Let's be fair!
 
Kwenye Uchumu kuna mambo mengi sana, Environmental Economics, Forestry Economics, climate change Economics, Natural Resources Economics and Kila nyanja yake hivyo itategemea yeye anataka kwenda kwenye nini hata agricultural economics sasa hata mnabishana nini wakuu. kama ameomba kazi amepewa basi vizuri ila ni Vizuri sana kwenda UDOM, UDSM au SUA hata MZUMBE na huku kuna shida sana ya walimu na atakuwa amefanya vizuri sana
 
Back
Top Bottom