Dr. Hassan Mshinda, DG wa COSTECH...


Naona umeanza na Masters. first degree kasoma wapi? kuna rumours alibebwa kutoka diploma ya lab technician hadi masters. Is it true?
 

Japo sifagilii majungu dhidi ya mtu binafsi ila hapo kwenye red ndipo panapoleta shaka ya" credibility" ya hoja yako..labda urafiki wenu unakufanya ushindwe kabisa hata kuona mapungufu aliyonayo mkuu wako katika utendaji!!. Kwa mleta hoja labda ungetusahidia kubainisha hao waliotimuliwa kwa majina na wadhifa wao ili tufahamu kwa kina badala ya kusema tu wametimuliwa kwa chuki binafsi nk.
 

Napia anawezaje kuwa Associate professor wakati si mwanataaluma bali mtendaji? U-profesor ni cheo/daraja katika vyuo vikuu kama ilivyo yeye kuwa DG cheo ambacho yeye yupo; infact kwa cheo chake kama amepanda kwa merits ni sawa kabisa na u-profesor ambao ni cheo cha juu kabisa katika Universities kwa wanataaluma.

Kwakweli sijaiona CV yake na nilipo google sikupata machapisho yake scientific zaidi ya presentations zake katika conferences/workshops mbali mbali ambazo zinaonyesha alizifanya katika capacity yake yakuwa DG IHI na ya hapo COSTECH ambazo inawezekana kabisa ni kazi za IHI/COSTEC yeye akiwa senior basi amepresent kwa niaba ya wote (Mnisahihishe kama nimekosea)....Tuache kuchanganya mambo jamani.

Kusema kuna ma-prof wamebebwa tu pia si sahihii sana pamoja na kuwa kunasiasa hapa na pale kwenye universities duniani kote lakini bado merits zinazingatiwa kwa kiwango cha juu. Kupanda university kama umefanya kazi zako kwa umahiri ni vigumu sana mtu kukuzuia kufika katika higher ranks na nikiri kuwa katika nchi yetu bado universities zetu kupanda kwa wanataaluma siasa ni kwa kiwango cha chini sana na hilo hutokea kama nawe pia kazi yako siyo nzuri kwakiwango cha kuzuia huo mwanya kutumiwa. Kuna hii hapa kuwa vigezo vya promotion kuongezwa ambayo mm naona ni sawa tu katika kutufanya tuwe wazuri zaidi katika academia japo vijana wanalalamika wazee wame kick the ladder ili kutupunguzia pace yakuwa maprof mapema....
 
Bora kasafisha nyumba kuna vihiyo wanajiita Wakurugenzi lakini hakuna wanachofanya zaidi ya majungu.
 
Ingekuwa Na mimi naamini katika udini, basi ningetilia shaka juu ya Elimu na profile ya Mchechu na nafasi yake kwenye NHC. Pia juu ya madhumuni yake ya kuwatoa waislamu kwenye nyumba za NHC
 

Dr Hassan Mshinda ametokea ifakara. Hapo pia alitoka Dr Haji Mponda, waziri wa Elimu. Walipooondoka wote hao boss aliyebaki ni Dr Salim (M-Zanzibari). Naandika hayo ili uone seniority structure ilivyokuwa imetenmgezwa na Dr Mshinda.

Udini Usimtetee jamaa huyu ni mdini wa kutupwa na ukitaka kujua hilo, subiri wakurugenzi watakoletwa COSTECH. Kiuongozi anaweza kuwa mzuri maana naona move yake ni nzuri kuliko yule profesa feki, Kohi. Kohi aliigeuza COSTECH kuwa taasisi ya mikutano tu, tena eti akafoji u-profesa (sic) na bado akaachwa ajiite profesa.

Kwa upande wa elimu yake, Mshinda kuna utatanishi sana! Maana hakuna anayeweza kutueleza Bachelor yake aliisoma wapi. Msomi gani anayeanzia Masters ya miaka 2 na baadaye PhD ya mwaka mmoja? Hata eastern ilikuwa ni masters ya miaka 4!

Huko tuendako, kama kweli atapata directors wenye uwezo watampa shida na kama kale ka-Inferiority kataingia basi ataishia kuwa-mishandle kwa kujilinda.


Tatizo lake aliingia kwa favour na anajifahamu hivyo. Kwa sasa namuona kama anajitahidi sana kuimarisha favour hiyo kwa kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na ikulu bila hata kuihusisha wizara!


Sijui Wizara itamu-control namna gani maana anaweza kuwa tatizo ktk maamuzi.


Ktk hili la mabadiliko mimi niko positive. Lakini mawili tu;


1. Aaache udini

2. aache kujiona yuko juu kuliko wizara, hata kama aliyemteua yuko ikulu

 
Mfumo kristo huwafanya watu vipofu.Mbona hamuhoji TRA kujaa wakristo tena wachaga.
 
Mfumo kristo huwafanya watu vipofu.Mbona hamuhoji TRA kujaa wakristo tena wachaga.

Kwangu mimi hata hao TRA walaaniwe Kabisa. Tena hivyo visingizio vya wamesoma sana waviache kabisa. TRA walikuwa hawataki graduates. Wao ilikuwa IFM, DSA (those days) na CBE. Hao ndo mpka leo hii wamejaa TRA. Unaajili kabila moja unasema eti wamesoma sana. Utasomaje sana ktk vyuo kama hivyo?

Ukabila, Udini , nk lazima uwe na aibu kwamba mbona tuko peke yetu?
 
Reactions: Ame

Nadhani alistahili kuwa DG wa NIMR kuliko kupelekwa COSTECH. Simfahamu Mshinda kama mdini ama la,lakini lazima niseme wanasayansi wetu wengi walioko katika Taasisi za utafiti wamejisahau sana. Mfano ni TPRI Arusha ambayo huwezi jua wanafanya nini siku hizi. Nakumbuka kuna kipindi aliteuliwa mkurugenzi mmoja(mtanzania)aliyekua amejipatia sifa kubwa huko Japan,alipofika TPRI akapigwa vita na wakurungezi na senior staffs waliokua wamezoea ubangaizaji wa kitanzania. Kwa hiyo naelewa kama Mshinda alitimua hao wakurungezi maana watakua walikua kikwazo katika Taasisi.
 
Actuari nlikua naandaa CV nipeleke COSTECH, Lakini baada ya kusoma page by page naanza kushikwa na kihoro kuhusu hii kamisheni kaa itamit mategemeo yangu. Naendelea kutega skio radio mbao bado.
 
Namfahamu Hassan kwa miaka zaidi ya thelathini baada ya kumaliza nae Forodhani sec.Anaabudu dini yake vizuri lakini si mdini.Mimi ni mkristo lakini tunauhusiano mzuri na yeye.
 


Duuh! Nasikia: Form 4 DIV Four, A-level Hakusoma, 1st degree hana. Je ni kweli? kwa aliyesoma naye Forodhani!!!
 
Ndipo hapa tanzania imefikia mo meritocracy any more. Ni kujuana tu
 
Hizi thread imejaa wivu na choyo tu Mimi ni mkristu halafu niko katika sekta ya afya hapa nchini lakini namkubali Dr Mshinda kuwa ni mtendaji ambaye amebobea katika tafiti za Malaria na dunia inatambua hata kama baadhi ya wana JF walio COSTECH hawamkubali. Kuhusu kutoka Diploma kwenda Msc hakuna cha ajabu bali inategemea chuo kimachotoa Msc kinavyokitambua chuo alichosomea hiyo Diploma yake. Naomba niwahakikishie vijana wanaofikiri eti ukiwa BA au Bsc ya chuo cha Tanzania basi unaweza kwenda kusoma chuo popote hapa duniani kama Oxford au Bradford au Cambridge! Si kweli bali lazima uwepo uhusiano wa kiacademia kati ya vyuo hivyo ambapo mitaala ya vyuo vyote viwili huwa shared mutually. Ninawafahamu waalimu wangu wenye Bachelors degree 2 yaani moja toka UDSM enzi hizo na moja toka chuo cha Birmingham ndiyo wakaruhusiwa kufanya MBA. Kwa hiyo hakuna automation ya kwamba sijui nina Bsc au BA ya chuo fulani Tanzania basi nitakubaliwa kwenye chuo chenye reputation UK au US, No labda uende vyuo vya mitaani.

Nikirudi kwenye hoja Dr Hussein Mshinda alisoma Diploma ya Lab hapo Muhimbili ikiwa chini ya UDSM na chuo alichokwenda kufanya Msc kilikuwa kina itambua UDSM kwa hiyo wakapitia mtaala wa hiyo Diploma wakamuona anafaa kufanya MSC. Katika uteuzi wake swala la dini halipo kabisa bali ni excellency yake kwenye performance. Tena nakumbuka COSTECH inabidi ifurahie ujio wake kwani kuna tafiti moja ya Malaria toka kwa wafadhili aliyoiandikia akiwa IHI ilipoletwa ilikuja kwa jina lake na akaiingiza hapo COSTECH kwa vile walikubali kui finance kwa kutegemea usimamizi wake. Huyu atawafaa COSTECH kwa kuwa mutakuwa busy na tafiti kuliko mulivyokuwa wakati wa Pr Kohi ambapo paligeuka kuwa kijiwe cha mission town.
 
Mie ni mtafiti najua matatizo mengi ya COSTECH yaliletwa na managers hao 15 waliokuwa wanakula rushwa/pesa tu na tangible outputs. Jamani mkisikia matatizo COSTECH ilikuwa ni mwisho wa habari. Bado hatuoni mabadiliko makubwa mpaka sasa lakini hebu tumwache afanye kazi kwanza. Mtu mwenye CV ya aina hii si mdogo katika Tanzania kama yetu yenye maproffessor wa majina tu kama wa UDSM SUA na UDOM na hawana kitu wanachogundua cha kusaidia Taifa.
 
Naona umeanza na Masters. first degree kasoma wapi? kuna rumours alibebwa kutoka diploma ya lab technician hadi masters. Is it true?

Sio tu kubebwa kwenye Masters tu. Hata kwenye hiyo PhD nako alibebwa vile vile. Ndani ya mwaka mmoja akamaliza ili apate qualification ya kuwa director. Waliombeba ni Waswisi ambao Ifakara ndio ngome yao na wao walitaka mtu ambaye atawaheshimu na kuitikia ndio mzee kitu ambacho aliyekuwa Mkurugenzi wa pale wakati huo Dr. Kitua hakua nacho na waswisi hawakumpenda kabisa na hatima yake ni kupigwa chini jamaa akaukwaa ukurugenzi.
 
Naona umeanza na Masters. first degree kasoma wapi? kuna rumours alibebwa kutoka diploma ya lab technician hadi masters. Is it true?

Huyu mwandishi inaonekana ana maslahi na Mshinda. Ameacha historia ya shule za nyuma akarukia Masters. Alibebwa maana zamani ilikuwa huruhusiwi kusoma PhD bila Bachelor degree. Na unasomaje masters bila kuwa Bachelor? Ndiyo hayo hayo ya Executive Masters degree zitolewazo na Mzumbe. Hopeless. Mtu hana basic degree anarukia Masters!! Sawa na gap ya form six, utamuona mtu anbaye hajasoma A level hata kama ana PhD!!! Najua mtatukana,
 

Mshinda hana Masters, wala hajapita form six. Tumefanya naye kazi akiwa technician, sawa na Premji alikuwa technician akajiendeleza. (angalau huyu alisoma MD Muhimbili). Prof. Marcel Turner akambeba na mbeleko iliyobarikiwa na Mungu, akamvusha milima na mabonde akawa hapa alipo. Alisoma Basel univeristy ambayo kauli ya mwisho hapo anayo Turner- asingeliweza kukwamishwa popote pale katika hizo Masters na PhD. papers nyingi alizo nazo angalia lazima Turner awepo.
Hatumchukii, ila alichofanya kuwatimua wakurugenzi COSTECH ndicho tusikiafiki. Na kweli watakao kuja wote watakuwa waislamu. Let us wait and see!!
 


Si kweli. Huyu jamaa hana lolote. Sana sana hiyo CV yake ya malaria na isitoshe malaria ni moja ya diseses ambazo zinaangamiza Watanzania wengi sana kuliko magonjwa mengine ukifananisha na nchi zingine. Si ajabu kabisa funds kuwa directed huko Ifakara kwa kuwa hata hao funders wangetaka kujua kulikoni hii malaria na namga gani tuidhibiti. Sehemu rahisi ya kudhibiti ilikuwa ni Tanzania na eneo oevu la ifakara ni moja ya mazalio makubwa kabisa duniani ya Anopheline mosquitos. Kwa maana ingine wafanyakazi wote wa ile centres wana-qualify kuwa gurus kama alivyo yeye. Issue ni kwamba yeye aliwawahi kupata PhD hao wengine ndiyo wanaibuka now.

Pili, nani asiyejua kuwa huko ifakara nets za mbu zilizotolewa na WHO/whoever ni maarufu sana kwa kuvulia samaki. yeye kama Guru wa malaria, ali-play role gani ya kugeuza hiyo kasumba kabla hayaondoka pale Ifakara?! Usisahau maeneo ya uvuvi wa samaki kwa kutumia hizo nets ilikuwa mita chache sana kutoka pale ofisini kwake!

Tatu, funds za costec ni moja ya funds ambazo ziko highly disorganised nchini. You can compare to funds za vyama vya ushirika. Unapeleka proposal unaambiwa ati imepita lakini unadaiwa report mwezi mmoja baada ya kusaini mkataba! yote haya yanatokea chini yake huyu bwana. he can't be a leader but most appropriate a good scientist who should have refused the appointment and continued staying in malaria ridden corridors.

Nne na ya mwisho huyu bwana hawezi kujibu emails. Wakurugenzi wenzake wote wakiandikwa email na watu wanaowahudumia huwa wanajibu haraka sana. Lakini yeye piga ua, never never never responds! Who the hell is he in leadership if can't communicate?!

We need leaders when it comes to leading and scientists when it needs showing directions.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…