Director General
Dr. Hassan MshindaDirector General
About Dr. Mshinda
Formerly the Director of the Ifakara Health Development Centre in Tanzania Dr. Hassan Mshinda completed his MAster of Science in Applied Parasitology and Medical Technology with the University of Liverpool and PhD in Epidemiology with University of Basel in Switzerland. Dr. Mshinda has led several research projects funded by Multilateral Initiative of Malaria in Africa (MIM), Swiss Agency for Development and Cooperation, International Atomic Energy Agency, International Development Research Centre in Canada, European Union, Ireland Aid and Novartis Foundation for Sustainable Development. He has published several papers in communicable diseases and Health Systems.
Dr. Mshinda has conducted several international and national consultancies assigned by Department of International Development, Danish Development Agency and WHO, Global fund for HIV/AIDS, TB and Malaria.
Dr. Mshinda was the Chairman of the INDEPTH Board, Member Scientific Coordinator of AMANET, a member of International Review Panel-Health Matrix, Board Chairman - St Francis Pharmacy, Board Member - BRAC Tanzania, Member - Regional task force of Maternal New Born and Child Partnership AFRO/WHO
Roles & Responsibilities
The Director General is the Chief Executive Officer of the Commission and therefore responsible for the implementation of all decision of the Commission and for carrying out all The day activities of the Commission
The Director-General is secretary of the Commission,
The following are the main roles of The Director General:
(a) To carry out investigation into the problems of transfer of and development of science and technology and transfer of technology;
(b) To obtain the advice of person having special knowledge, experience, or responsibility in regard to development of science and technology.
(c) To keep under review the progress made in the attainment of the objects and purposes of this Act to publish reports and provide information for the purpose of enhancing public awareness of such progress and of the problems and remedies that exist in relation to the development of science and technology.
(d)To promote, encourage, co-ordinate and carry out short term and long term planning and projects in the development of science and technology with or separate from other public bodies and other organs
(e) Generally to administer and give effect to the provision of this Act and to carry out other function as may be prescribed by the Commission
Acha uongo na chuki binafsi...namjua Dr. Hassan Mshinda personally kama rafiki na pia likuwa boss wangu!
Google profile ya Dr Hassan Mshinda halafu niambie kama katika 'top ten' ya scientist wa Tanzania hatakuwepo! He is a PhD holder, Malariologist, research guru, with hundreds of research publications in 'internationally accredited' journals. Ana awards nyingi tu katika uwanja wa research kutokana na kazi zake katika malaria.
Dr Mshinda hana undugu wowote na Saidi Mwema....Said Mwema ni mkwe're wa kutoka kijiji cha Mwetemo Bagamoyo (kati ya Kiwangwa na Msata), Dr Mshinda ni mNgazija toka Shelisheli (Seychelles), hapa Tanzania alihamia akasoma, akaoa, akazaa, na anafanya kazi brilliantly.
Utendaji kazi wa Dr Mshinda ulimvutia JK wakati alipokuja Mkurugenzi wa shirika la afya duniani (WHO) Dr Margareth Chang, Chang mwenyewe alisalute kazi kubwa iliyofanywa na Ifakara Health Institute chini ya Dr Mshinda akiwa mkurugenzi, kiasi kuna guidelines kadhaa za WHO zimekuwa developed kufuatia tafiti za IHI. Hata waziri wa Afya wa sasa Dr Hadji Mponda ametokea IHI naye akiwa na tafiti na publications nyingi tu za malaria.
Kama ana mapungufu mengine hapo COSTECH jaribu kujenga hoja kwa hayo...lakini usisingizie alibebwa kupewa post hiyo kwa uswahiba wa kuunga na gundi kwa JK.
Nenda kwenye vyuo vikuu vyote (UDSM, MUHAS, UDOM, IMTU, HKMU, SAUT, Tumaini etc) cheki kama hao ma-Associate Professors wana profile kama ya Dr Mshinda. Wakati niko chuo kikuu Muhimbili kulikuwa na mtu anaitwa Professor Mtui (Guru wa Neuroanatomy), by then UDSM-MUCHS walikuwa hawana Neuroanatomist, huyu jamaa alikuwa anakuja kwa gharama yake toka Marekani alipokuwa akifundisha kuja Muhimbili ikutoa lectures kama guest lecturer....MUHIMBILI HAS NEVER WANTED TO RECOGNIZE HIM AS 'PROFESSOR'! Wakamfrustrate mpaka akaacha, na sasa sijui kama MUHAS wana Neuroanatomist!
Kuwa Associate Professor siyo lazima kutokane na profile yako, siasa nyingi tu zimeingia kwenye fani, hata wasiostahili ni maProfessor! Kuna Dr Muhimbili kapewa uProfessor simply kwa kuwa Daktari wa JK (jina tunalo), ana profile ya kumshinda Dr Mshinda?
Humjui huyu boss. Jamaa ana elimu kubwa, PhD katika fani yake. Na ameingia hapo akiwa DG wa taasisi yenye jina kubwa sana hapa Tz katika masuala ya research za mambo ya tiba, jaribu google search tu utaona. Ifakara Health Institute ambako Dr Mshinda alikuwa DG ina jina kubwa sana katika hayo mambo ya research na science and technology, actually inaongoza hapa Tanzania. Tafuta muda utembelee sites zao Ifakara, Bagamoyo na Dar utarudi hapa na maneno ya heshima zaidi. Hajabebwa na mtu huyo boss ni kichwa cha ukweli.
Mfumo kristo huwafanya watu vipofu.Mbona hamuhoji TRA kujaa wakristo tena wachaga.
Sasa ulitaka asiwajaze "wenzake" awajaze wenzako? Unanshagaza!
waliohamishwa ni ma-directors wa 3 ( dr matheo raphael, dr rose kingamkono na mr eliab chijoriga) wengine ni scientific staff...nao ni dr makene, lambo mayenga (chief accountant), elikira mathew(mhasibu), wengine nao scientific staff ni charles yongolo, enock mpenzwa, jonas kamaleki, PC chuwa, salvatory mushi, rogers alfayo, godlease malisa, jumanne bwamkuu..
Dr Hassan Mshinda ametokea ifakara. Hapo pia alitoka Dr Haji Mponda, waziri wa Elimu. Walipooondoka wote hao boss aliyebaki ni Dr Salim (M-Zanzibari). Naandika hayo ili uone seniority structure ilivyokuwa imetenmgezwa na Dr Mshinda.
Udini Usimtetee jamaa huyu ni mdini wa kutupwa na ukitaka kujua hilo, subiri wakurugenzi watakoletwa COSTECH. Kiuongozi anaweza kuwa mzuri maana naona move yake ni nzuri kuliko yule profesa feki, Kohi. Kohi aliigeuza COSTECH kuwa taasisi ya mikutano tu, tena eti akafoji u-profesa (sic) na bado akaachwa ajiite profesa.
Kwa upande wa elimu yake, Mshinda kuna utatanishi sana! Maana hakuna anayeweza kutueleza Bachelor yake aliisoma wapi. Msomi gani anayeanzia Masters ya miaka 2 na baadaye PhD ya mwaka mmoja? Hata eastern ilikuwa ni masters ya miaka 4!
Huko tuendako, kama kweli atapata directors wenye uwezo watampa shida na kama kale ka-Inferiority kataingia basi ataishia kuwa-mishandle kwa kujilinda.
Tatizo lake aliingia kwa favour na anajifahamu hivyo. Kwa sasa namuona kama anajitahidi sana kuimarisha favour hiyo kwa kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na ikulu bila hata kuihusisha wizara!
Sijui Wizara itamu-control namna gani maana anaweza kuwa tatizo ktk maamuzi.
Ktk hili la mabadiliko mimi niko positive. Lakini mawili tu;
1. Aaache udini
2. aache kujiona yuko juu kuliko wizara, hata kama aliyemteua yuko ikulu
Naona umeanza na Masters. first degree kasoma wapi? kuna rumours alibebwa kutoka diploma ya lab technician hadi masters. Is it true?
Naona umeanza na Masters. first degree kasoma wapi? kuna rumours alibebwa kutoka diploma ya lab technician hadi masters. Is it true?
Dr Hassan Mshinda ametokea ifakara. Hapo pia alitoka Dr Haji Mponda, waziri wa Elimu. Walipooondoka wote hao boss aliyebaki ni Dr Salim (M-Zanzibari). Naandika hayo ili uone seniority structure ilivyokuwa imetenmgezwa na Dr Mshinda.
Udini Usimtetee jamaa huyu ni mdini wa kutupwa na ukitaka kujua hilo, subiri wakurugenzi watakoletwa COSTECH. Kiuongozi anaweza kuwa mzuri maana naona move yake ni nzuri kuliko yule profesa feki, Kohi. Kohi aliigeuza COSTECH kuwa taasisi ya mikutano tu, tena eti akafoji u-profesa (sic) na bado akaachwa ajiite profesa.
Kwa upande wa elimu yake, Mshinda kuna utatanishi sana! Maana hakuna anayeweza kutueleza Bachelor yake aliisoma wapi. Msomi gani anayeanzia Masters ya miaka 2 na baadaye PhD ya mwaka mmoja? Hata eastern ilikuwa ni masters ya miaka 4!
Huko tuendako, kama kweli atapata directors wenye uwezo watampa shida na kama kale ka-Inferiority kataingia basi ataishia kuwa-mishandle kwa kujilinda.
Tatizo lake aliingia kwa favour na anajifahamu hivyo. Kwa sasa namuona kama anajitahidi sana kuimarisha favour hiyo kwa kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na ikulu bila hata kuihusisha wizara!
Sijui Wizara itamu-control namna gani maana anaweza kuwa tatizo ktk maamuzi.
Ktk hili la mabadiliko mimi niko positive. Lakini mawili tu;
1. Aaache udini
2. aache kujiona yuko juu kuliko wizara, hata kama aliyemteua yuko ikulu
chonde chonde msituharibie jamvi ligeuke sehemu ya majungu, Dr Hassan Mshinda ni mmoja kati ya wana sayansi wachache ambao tunajifunia. namfahamu kidogo Dr mshinda, naomba niwaambie kitu ambacho labda hamkijui. mimi binafsi ofisi yangu ipo hapa jengo la costec
Dr hassani ameingoza ifakara health center kwa mafanikio makubwa sana na wakati huo huo costech ilikuwa chini ya mwanajeshi jeneral cohi , hakukuwa na lolote la maana, watu wengi sana walijaa maofisini nafasi moja watu wawili mpaka watatu, jaribu kufikiri bosi mmoja alikuwa na sekretari wawili, jaribu kufikiri
upande wa account kulikuwa na watu kumi na mbili jaribu kufikiri
vijana wanaofanya usafi zaidi ya kumi na tano na wakimaliza usafi asubuhi basi wanakuwa wapo wapo tuuuuuu mpaka tena kesho
kwa ufupi ofisi ilikuwa inaboa sana watu wanaacha makoti asubuhi then wako kwenye mishe mishe, sasa alipokuja Dr mshinda kapunguza nafasi zisizo na ulazima, mfano akapunguza watu wote ambao walikuwa na elimu ya darasa la saba zaidi ya watu 30 walipungua unaweza pata picha kulikuwa na kusanyiko la aina gani.
then akapunguza nafasi zote ambazo zilikuwa zinashikiliwa na watu zaidi ya wawili. na kwa muda wa miaka mitatu aliyokaa ameweza kurekebisha mahali hapa hata nidhamu ya kazi imerejea sana tu.
na juzi hapa mfuko wa bill and gate wameahidi kutoa 100biln kwa ajiri ya miladi ya utafikti hivyo dr mashinda anahitaji wataalam ili wakamilishe hii miladi , kwa sasa kuna vijana wadogo wengi zaidi ya 40 wengi ni fresh frm college wapo hapa wanapiga kazi, hawa wakurugenzi unaowasema hawaendani na kasi ya Mshinda ndio maana wamepelekwa huko wakaendelee kufika ofisini saa 4 na kusoma magazeti . mshinda anastahili pongezi sio lawama