kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,988
- 6,645
Asibadilike kwasababu ya cheo yeye aendelee kama alivyo ubaya in kujioneshaonesha lkn kuongea sio mbaya.
Watu waelewe kuondolewa madarakani na magu ni utashi wake yeye na haimaanishi hufai?? Hata magu ingewezekana angeondolewaga uwaziri enzi yake kama rais angekuwa kamayeye...
Watu waelewe kuondolewa madarakani na magu ni utashi wake yeye na haimaanishi hufai?? Hata magu ingewezekana angeondolewaga uwaziri enzi yake kama rais angekuwa kamayeye...