Kwa Dkt. Dorothy Gwajima, CCM imelamba Dume. 2025 Rais awe yeye kulingana na usomi alio nao

Makala josee

JF-Expert Member
Aug 15, 2020
511
447
1610083257210.png

Nampendekeza kwenu Bi Dorothy

Itakuchukua muda mfupi sana baada ya kumtazama katika utekelezaji wa majukumu yake Bi. Dorothy kutambua kipawa alicho nacho cha uongozi, nimemsikiliza katika clip inayosambaa akifanya analysis na wadau katika wizara aliyokuwa akihudumu kama Naibu Katibu Mkuu, kikweli CCM msifanye ajizi anzeni sasa kumuandaa na huyu ndie atakuja kuwa Rais wetu baada Dr. Magufuli

Pia soma:

 
Mwanamke for President!I am sorry,mwananke hapaswi kumuongoza mwanamna.That is Biblical.Nipigeni madongo na mawe,lakini huo utabaki kuwa ukweli,sitapepesa macho ng'o.We man were created to be leaders,not women.Hii dhana ya wanawake kuongoza wanaume imetoka kuzimu jamani,tuwe makini.

Kwa bahati mbaya sisi bila kujua tumeikumbatia.Halafu mianaume mingine nayo,noma sana, bila aibu inaipigia chapuo.Sijui imelambishwa nini na Wazungu.Shameful indeed.

NGOs hizi zinatuletea vitu vya ajabu sana,mara mfumo dume,mara tohara kwa wanaume,aibu tupu.Mfume dume ndio mnyama gani?
 
Ndo umeandika Nini, USA kwenyewe kwenye demokrasia,hawajawahi kuweka rais mwanamke
 
Back
Top Bottom