Dr. Dau bado anatumia magari ya NSSF

Dr. Dau bado anatumia magari ya NSSF

Umbea ni hatari sana! Dr. Dau hajatumbuliwa Bali amenadilishiwa kazi! Anaandaliwa ubalozi Fulani hivi! Bila shaka kwenye mataifa ya uarabuni!
 
Justin Kalikawe Alionya kwenye wimbo wake wa amani aliposema nanukuu.

" Jamii yetu itakuwa ni jamii ya namna gani, pale mtenda haki atakapogeuka kuwa adui wa watu, tukageuza mabaya yakawa mazuri, na mazuri yakawa mabaya, tunawasha moto, utakaotuunguza sisi wenyewe na vizazi vyetu oooh".

Nadhani Sakata la Dr Dau ni turning point ya nchi hii katika kudeal na suala la chuki za kidini za kisirisiri ambazo sasa zinaonekana dhahiri kabisa!

Serikali iwe makini sana, mtaani watu wanaanza kugawanyika.
 
Kwa hiyo unataka awape access ya milango ili mumuhujumu ili aonekane mwizi sio, hapo ndio utabaini kwanini anaitwa Dr,
 
Acha umbea wew ulitaka apande daladala kama wewe



Acha umbea wew ulitaka apande daladala kama wewe[/QUOTE

Kwann aendelee kupanda magari ya NSSF walati tayari ameshatumbuliwa?

Hayo ni mazoea mabaya,, ukisha tumbuliwa lazima ukae pembeni usubiri kovu lipone kwanza sasa akiligonga gari letu gharama tunahamishia wp,,ofsn au nyumbani kwake?
 
Wewe si ndie ulileta mada ya uteuzi wa Mganda na kumpa sifa kede kede..? Wadau wakakuambia si raia wa tz ulivimba kichwa na kuleta maneno ya jeuri ila uteuzi wake ulipotenguliwa baada ya masaa matano haukurud tena kwenye thread yako ndo unaibuka leo na suala la Dr. Dau. Acha wivu na majungu ndg weka picha na huyo Dr. Dau alishaondoka Siku nyingi hapo acha kumfuata fuata.
 
Balozi Dr. Ramadhani Kitwana Dau lile V8 ni la kwake lile la NSSF lenye plate no. Inaanzia SU kishalirudisha tuache uongo. Ndo kwanza karejea zake kutoka England kwny mapumziko kutoka kushuhudia Team yake ya Arsenal ikivuliwa ubingwa wa FA. Tumuache aendelee na maisha yake akisubiriwa kukabidhiwa u Govenor kama tetesi hizi ni za kweli
 
Balozi Dr. Ramadhani Kitwana Dau lile V8 ni la kwake lile la NSSF lenye plate no. Inaanzia SU kishalirudisha tuache uongo. Ndo kwanza karejea zake kutoka England kwny mapumziko kutoka kushuhudia Team yake ya Arsenal ikivuliwa ubingwa wa FA. Tumuache aendelee na maisha yake akisubiriwa kukabidhiwa u Govenor kama tetesi hizi ni za kweli
Mkuu unataka watu wafe kwa presha.twende polepole
 
Wagalatia wangekuwa na uwezo wangemtoa roho Dr. Dau.

Usiwasingizie wagalatia (kama unavyowaita) hawako hivyo, jadi ya kutoa roho wanayo wale wanaopenda kujilipua na kuua umati wa watu including wa itikadi yake kwa sababu tu ya mmoja asiyemtaka. Hivi kwani Dau was so special? Mbona ni kama vile imewatia uchungu sana baadhi ya watu? Kwani ni peke yake aliyetolewa kwenye nafasi kipindi hiki! Mbona viongozi kibao wamekatwa?
 
Atumiage tu, Mbona Sam 6 bado anaishi nyumba ya SUPIKA? Anna Sehamba naye anatumia magari yetu...
 
ndio nashangaa kwanini wagalatia wanamchukia sana ?
Lazma achukiwe kwa kuwa yeye ndo aliyeanzisha chuki,zaidi ni mwizi aliyebobea subiria ripoti zitoke ndo utajua huyu firauni alokuwa jizi na atapewa ubalozi gereza LA maweni tanga
 
Magufuli kampa kazi bila gari, anatembelea hilo mpaka akabidhiwe gari la ubalozi wake.
 
Hivi kashafanya makabidhiano ya ofisi kama ndivyo. Hizo zitakuwa fujo sasa
 
Back
Top Bottom