jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Humu JF kuna watu wanatumiwa na nchi na makundi ya nje kwa manufaa ya wachache.
FDLR haisafishiki!
kagame ndio anayelipa PR companies kama racepoint kumsafisha, ndie anayefadhili NGOs kama "enough project" kumsafisha, ndie anayelipa waandishi kama Andrew Mwenda kumsafisha....wewe taja na thibitisha taasisi, mtu, kampuni yoyote ile inayolipwa kuisafisha FDLR. Moja tu na uthibitisho wake, sio useme ooh, jmali, thibitisha!
FDLR inalindwa na ukweli baas!