Tanzania yakanusha ripoti kuhusu FDLR
Tanzania imekanusha vikali tuhuma kwamba imekuwa ikiwaruhusu viongozi wa kundi la waasi la FDLR kufanya mikutano nchini humo.
Hapo jana kulikuwa na taarifa ambazo zilitangazwa na vyombo mbali mbali vya habari duniani kuhusu ripoti mpya ya kundi la wataalamu wa umoja mataifa kuhusu Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwamba iilituhumu Tanzania kwa kuwaruhusu viongozi wa kundi la waasi FDLR kuandaa mikutano nchini humo.
Katika ripoti hiyo pia wanajeshi wa Burundi wanatuhumiwa kuwa walitekeleza unyanyasaji wa kingono.
Swali langu ni hili: Kama kwenye website ya serikali, Tanzania inawaita hawa waasi wa FDLR "freedom fighters" kwa nini inakanusha vikali report hii inayo watuhumu ku facilitate njama zao za ku overthrow a legitamate goverment? After all, they are "freedom fighters"...i would think they would be proud to be hosting "freedom fighters" kama walivyokuwa waki host ANC, SWAPO, FRELIMO, etc. Mwalimu hakuficha hilo.