Dr.Charles Kitima:Wanaolengwa ni wakatoliki

Dr.Charles Kitima:Wanaolengwa ni wakatoliki

Status
Not open for further replies.
Nilimsikiliza vizuri sana asbh kwenye mahojiano star tv, kitima ni mweupe mbaya pale upstair, ni mropokaji wa kutosha, kila mara alipoanza kuchangia mtangazaji alikuwa anamkatisha aache kuropoka
 
Si kweli, hakusema hayo. Either hukumuelwa au ulitumiwa "masaburi" kumsikiliza.

nadhani wewe ndio hujamuelewa mleta mada na inaonekana umetumia didas masaburi kusoma haya maelezo yake..hebu tulia kidogo ondoa hayo masaburi kwenye hilo joto.
 
Kama wana jf wangekuwa neutral na hawaegemei upande mmoja wa dini hii mada ilikuwa ni fursa nzuri sana kujadili suala la arusha....kitima akimaliza kuilaumu jamii ya kiislam atarudia utumbo wake kama nguruwe ataanza kuivurugu dini yake
 
Mtoa mada naomba nikupe mfano kidogo.
Kuna kipande cha barabara kina kona kali sana, hiyo kona kali ni chanzo cha ajali nyingi zinazotokea hapo..
Ila bado kuna ajali nyingine zinatokea hapo zinasababishwa na Ulevi wa madereva,uzembe , na sababu nyingine.
Ila bado haina maana kuwa ile kona kali katika kile kipande cha barabara sio tatizo.
Kama ni muelewa utakuwa umeelewa.
 
Kama jeshi la polisi lingekuwa smart na kama yale yanayosemwa na serikali yanatekelezwa huyi kitima angekuwa anany...ea ndoo huu mda. Aliyokuwa anaongea kwenye kile kipindi ilikuwa ni u..ha....ro mtupu
 
kama hivo ndivyo kwamba hakuba muislam aliyehusika kulipua kanisa arusha, naanza kuamini kwa nini waliompiga risasi zanziba, na waliochoma makanisa kdhaa bara na visiwani kwa nini hawajakamatwa. yawezekana wanaopewa jukumu la kutafuta watuhumiwa ndo watuhumiwa wenyewe.

kama wahusika ni wakristo si wakamatwe tu na kushitakiwa na kufungwa au hata kunyongwa, kwa nini hawakamatwi na hivyo kutoa nafas ya waislam kulaumiwa!

kwa jinsi ulivovalia suala hili njuga yawezekana hata wewe unajua wahusika au nawe ni.mhusika au unashiriki kuficha ukweli ili wahudika wasichukuliwe hatua waendelee kuchoma makanisa na kuua viongozi wa dini. lakini ujue mungu yupo na ndiye anayejua hukumu yenu na washirika wenu

Ambrose alishakamatwa na vyombo vinavyohusika.tuwaache wafanye kazi yao.FBI na CIA wanayo agender ya siri yenye maslahi kwa nchi yao kamwe rusiwategemee.hebu tujiulize.watu wsliomuua kamanda Baro usiku wa manane,walikamatwa baada ya siku chache tena bila kuwatumia hao fbi na cia.lkn cha kushangaza hao fbi na cia mpaka leo sijasikia eti wamemkamata muhalifu yeyote.badala yake ni kama wao ndio wanachochea kwa kuwa wanataka kutimiza maslahi yao.slogan ya America inasema"America has no parmanent friend and has no parmanent enemy but has a parmanent interest"akili za kuambiwa....................
 
Kama wana jf wangekuwa neutral na hawaegemei upande mmoja wa dini hii mada ilikuwa ni fursa nzuri sana kujadili suala la arusha....kitima akimaliza kuilaumu jamii ya kiislam atarudia utumbo wake kama nguruwe ataanza kuivurugu dini yake

Peleka hukooo!!!!
 
Ambrose alishakamatwa na vyombo vinavyohusika.tuwaache wafanye kazi yao.FBI na CIA wanayo agender ya siri yenye maslahi kwa nchi yao kamwe rusiwategemee.hebu tujiulize.watu wsliomuua kamanda Baro usiku wa manane,walikamatwa baada ya siku chache tena bila kuwatumia hao fbi na cia.lkn cha kushangaza hao fbi na cia mpaka leo sijasikia eti wamemkamata muhalifu yeyote.badala yake ni kama wao ndio wanachochea kwa kuwa wanataka kutimiza maslahi yao.slogan ya America inasema"America has no parmanent friend and has no parmanent enemy but has a parmanent interest"akili za kuambiwa....................

Kukamatwa kwa ambrose aliyekodishwa na pikipiki yake kama mwenye bodaboda yeyete anavyoweza kukodishwa hakufuti ukweli kwamba waislamu kwa kushilikiana na waarabu wa saudia ndio wamerusha bomu hatuwezi kukaa hapa na spin za usalama wataifa wanaotaja majina mawili ya wakristo huku mengine nane hayajatajwa waislamu wamerusha bomu na polisi wanamfanya ambrose ni human Cover yao washindwe na walegee,waelezwe waislamu kwamba makanisa na maaskofu na waumini wa kikristo wakiwaua fedha hazitajaa mifukoni mwao
Kikwete tabgu 2005 kapanda kisiasa kwa kutumia misikiti na kuhubiri utengano wa kuwagawa wananchi kwa mafungu ya kidini,hachukui hatua anabalance anapofanya maamuzi sasa aenjoy wakristo damu zao zinaendelea kumwagika angonge glasi za mvinyo ndio Tanzania aliyoomba kuiongoza
 
Kukamatwa kwa ambrose aliyekodishwa na pikipiki yake kama mwenye bodaboda yeyete anavyoweza kukodishwa hakufuti ukweli kwamba waislamu kwa kushilikiana na waarabu wa saudia ndio wamerusha bomu hatuwezi kukaa hapa na spin za usalama wataifa wanaotaja majina mawili ya wakristo huku mengine nane hayajatajwa waislamu wamerusha bomu na polisi wanamfanya ambrose ni human Cover yao washindwe na walegee,waelezwe waislamu kwamba makanisa na maaskofu na waumini wa kikristo wakiwaua fedha hazitajaa mifukoni mwao
Kikwete tabgu 2005 kapanda kisiasa kwa kutumia misikiti na kuhubiri utengano wa kuwagawa wananchi kwa mafungu ya kidini,hachukui hatua anabalance anapofanya maamuzi sasa aenjoy wakristo damu zao zinaendelea kumwagika angonge glasi za mvinyo ndio Tanzania aliyoomba kuiongoza

watu wenye mtindio wa akili kama wewe ni janga kuu kwa taifa hili
 
watu wenye mtindio wa akili kama wewe ni janga kuu kwa taifa hili

ninavyo fahamu watu wenye mtindio hawaelezi ukweli ambao umekuuma, mjinga huna adabu ulidhani utakuja kwenye thread uandike ushetani wako tukuangalie tuu
 
kama hivo ndivyo kwamba hakuba muislam aliyehusika kulipua kanisa arusha, naanza kuamini kwa nini waliompiga risasi zanziba, na waliochoma makanisa kdhaa bara na visiwani kwa nini hawajakamatwa. yawezekana wanaopewa jukumu la kutafuta watuhumiwa ndo watuhumiwa wenyewe.

kama wahusika ni wakristo si wakamatwe tu na kushitakiwa na kufungwa au hata kunyongwa, kwa nini hawakamatwi na hivyo kutoa nafas ya waislam kulaumiwa!

kwa jinsi ulivovalia suala hili njuga yawezekana hata wewe unajua wahusika au nawe ni.mhusika au unashiriki kuficha ukweli ili wahudika wasichukuliwe hatua waendelee kuchoma makanisa na kuua viongozi wa dini. lakini ujue mungu yupo na ndiye anayejua hukumu yenu na washirika wenu
mkuu hapa linatengenezwa tukio ili kuwagombanisha waislam na wakristo. wanajua wanachofanya, na kimsingi wanachotaka ni serikali ianze kuwakamata waislam na kuwaweka ndani. na hapa wanachofanya ni kuwachongea, na baada ya kupiga kelele sana wameamua kutengeneza matukio. hebu ona kwa mfano hili la Arusha walivyoumbuka. hebu jiulize kama waliokuwa kwenye kanisa walimuona ambrose kwa macho yao akirusha bomu na wakataka kumuua kama sio polisi kumuokoa (kuna video niliweka humu ya jinsi askari walivyomuokoa mamods wakaiondoa kwa malengo wanayoyajua wenyewe), jiulize kingetokea nini? na kwa nini wanajaribu kupindisha hata mambo ambayo kila mmoja anayaona? hata hapa JF kwenyewe tunajionea jinsi wanavyopindisha ukweli. kama sio kukimbilia kuwachongea waislam kwa vyombo vya dola. kwa kifupi haya mambo ni zaidi ya tuyajuavyo na kuyaona.
ILA WAJUE HAKUNA UBAYA USIOKUWA NA MWISHO.
 
Umeanza vizuri lakini umemalizia vibaya...ulivyo malizia nahisi wewe ni mmoja wa wale waliokuepo chanel ten jana..wanajaribu ku hamisha hisia kutoka kwa waislam na kupela kwa mabeberu..
 
Waislamu wamelaaniwa tu!! Huko Pakstan, Iraq, Afughanistan, etc si wanalipuana wao kwa wao misikitini? Au na huko ni mabeberu wanaojitoa mhanga!! Wewe unaweza kumtoa mhanga hata mama yako aliyekubeba miezi tisa tumboni!!
HIVI MPAKA LEO HUJUI KWA NINI KULE Iraq Afghanistan na Pakstan watu wanauana? Jiulize kabda ya US na allies kwenda kumuondoa Sadam walikuwa wanalipuana? bila Us et al kwenda kuivamia Afghan walikuwa wanauana? kumbuka Afghan na Pakistan ni majirani na ndugu. kwa kifupi kilichopo pale ni vita kati ya vibaraka na wananchi. Funguka mkuu.
 
Hapana mkuu mimi ni mkristo wa madhehebu ya katoliki Bishop wangu ni Pengo, na wasaidizi wake eusebius nzigilwa na huyu mwingine nimemsahau jina alisimikwa last week. Napenda kusimamia ukweli tu. Kitima ni janga ndani ya kanisa just mark my words time will tell.

Hapa hata hakuna hata chembe ya ukristo labda upagani. Arusha wakristo wametajwa kupunguza hasira za waumini. Lile ni shambulio la kidini. Wahusika ni wafuasi wa ustaadhi ILUNGA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom