bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,334
- 6,718
Eh leo Ntukamazina amekuwa Mnyarwanda baada ya huyo Dr wenu kushindwa?
Mulimpaje post kubwa kwenye serikali kama mulijua ni Mnyarwanda?
Na angeshinda huyo Dr Bujari basi leo hii yeye angekuwa ni Mnyarwanda vile vile kwani mwosha huoshwa.
Mulimpaje post kubwa kwenye serikali kama mulijua ni Mnyarwanda?
Na angeshinda huyo Dr Bujari basi leo hii yeye angekuwa ni Mnyarwanda vile vile kwani mwosha huoshwa.