Dr. Bujara kuongea na vyombo vya habari kesho.

Eh leo Ntukamazina amekuwa Mnyarwanda baada ya huyo Dr wenu kushindwa?

Mulimpaje post kubwa kwenye serikali kama mulijua ni Mnyarwanda?

Na angeshinda huyo Dr Bujari basi leo hii yeye angekuwa ni Mnyarwanda vile vile kwani mwosha huoshwa.
 
Kuna mdau pande hizo ananambia Ngara kimenuka sana vijana kwa wazee ni mwendo wa kombati,hongereni sana CDM na makamanda wote.
 
chadema tutazidi kusonga mbele daima ccm chama chakavu kinachosubiri maziko 2015
 
Kesho Dr Bujari anafanya mkutano mkubwa mjini Ngara! Kuwaeleza wananchi namana serikali yao ilivyo dhaifu na kuwa ukombozi pekee utatoka CHADEMA! Bujari aligombea Ubunge kwenye kinyanganyiro cha ndani ya ccccm 2010
note: tangu chitanda na mwenyekit wa singida wote std 7 na makamu said arfi ambaye ni f4, mpaka sasa madaktari 3 wameshajiunga chadema.

Una uhakika na elimu za hao watu? hivi unajua Elimu za viongozi wako kitaifa?
 
Huyu jamaa hana jipya, mimi ni mkazi wa Ngara na nimemjua huyu jamaa toka ameanza harakati zake kupitia CCM. Uchaguzi wa mwaka 2010 akiwa CCM alihonga sana vijana na kina mama pesa na simu ili ashinde kura za maoni, nakumbuka wakati huo alikuwa na project fulani aliyokuwa anaifanyia kupitia wafadhili aliitumia kama njia ya kujipigia debe lakini matokeo yake akashindwa na Ntukamazina. Baada ya kuanguka kwenye kura za CCM aliungana na wenzake walioanguka kama lugumya mheto kumpiga vita Ntukamazina ili jimbo lichukuliwe na NCCR, wakati huo mimi nilikuwa mmoja ya waliokuwa wakimnadi mgombea wa NCCR Sam Ruhuza kwa hiyo nilikuwa naona kila kitu walichokuwa wanafanya ku-sabotage kampeni ya chama chao. Aliebaki upande wa Ntukamazina alikuwa Alex Gashaza ambaye alimpigia kampeni jamaa hata wakati alipougua na kwenda kutibiwa India mwezi wa mwisho wa kampeni. Kilichotokea sasa hivi wananchi wengi wa Ngara wanamuona Alex Gashaza ndiye anafaa kuwa mrithi wa Ntunkamazina 2015 jamaa kaamua kukimbilia CHADEMA. Wasijione wamelamba dume, hilo ni galasa. Kama kweli wanalitaka hili jimbo CHADEMA nadhani watafute mtu anaeuzika kwa vijana na watu wa vijijini ambao ndio idadi kubwa ya wapiga kura, la sivyo CCM watatawala milele.

Hapo kwenye BLUE mbona umeandika kiujumla sana? na kwa jinsi ulivyo malizia hapo kwenye BLUE umeharibu mahudhui ya yote uliyoyaandika hapo juu yake kwani tumeishaelewa hupo kundi gani.
 
Kesho Dr Bujari anafanya mkutano mkubwa mjini Ngara! Kuwaeleza wananchi namana serikali yao ilivyo dhaifu na kuwa ukombozi pekee utatoka CHADEMA! Bujari aligombea Ubunge kwenye kinyanganyiro cha ndani ya ccccm 2010
note: tangu chitanda na mwenyekit wa singida wote std 7 na makamu said arfi ambaye ni f4, mpaka sasa madaktari 3 wameshajiunga chadema.

Mbowe ni doctor??? Kama ndio hivyo basi na mwenyekiti awe doctor mbona kale ka form 6 kame shupalia kuongoza milele
 
Kuna ulazima wa serikali kuanzisha mfumo wa kuwabana hawa wataalamu. Nchi inaingia gharama kubwa kuwasomesha ili taifa kwa ujumla lije kunufaika, wao wanendekeza njaa na tamaa zao binafsi.

Gharama tz iliyoingia kumpata dr leo anaganga njaa kwenye siasa
 
Gharama tz iliyoingia kumpata dr leo anaganga njaa kwenye siasa

1. Prof. Muhongo
2. Prof. Magembe
3. Prof. Mwandosya
4. Dr. Mwakyembe
5. Dr. Mary Nagu
6. Mwigulu - Mchumi Daraja la 1
7. Engin. Manyanya
8. Prof. Juma Athman Kapuya

Na wengineo mfano wa hao hapo juu ambao wapo CCM unamaanisha na wao wanaganga njaa? au ni kosa kwa kuwa huyu Dr. kajiunga CHADEMA ndio anaonekana anaganga njaa. Tumia akili unapochangia ndugu.
 
Kesho Dr Bujari anafanya mkutano mkubwa mjini Ngara! Kuwaeleza wananchi namana serikali yao ilivyo dhaifu na kuwa ukombozi pekee utatoka CHADEMA! Bujari aligombea Ubunge kwenye kinyanganyiro cha ndani ya ccccm 2010
note: tangu chitanda na mwenyekit wa singida wote std 7 na makamu said arfi ambaye ni f4, mpaka sasa madaktari 3 wameshajiunga chadema.
Acha gongo wewe, mwenyekiti wa ccm mkoa wa singida ana diploma ya wanyamapori na misitu, chitanda ni graduate wa chuo kikuu. Gongo imekuharibu ubongo
 
1. Prof. Muhongo
2. Prof. Magembe
3. Prof. Mwandosya
4. Dr. Mwakyembe
5. Dr. Mary Nagu
6. Mwigulu - Mchumi Daraja la 1
7. Engin. Manyanya
8. Prof. Juma Athman Kapuya

Na wengineo mfano wa hao hapo juu ambao wapo CCM unamaanisha na wao wanaganga njaa? au ni kosa kwa kuwa huyu Dr. kajiunga CHADEMA ndio anaonekana anaganga njaa. Tumia akili unapochangia ndugu.
Kazi wanazofanya hao uliowataja huwezi kulinganisha na maandamano ya chadema ht kidogo. Ni ujinga kujiunga wanywa gongo, wamwagia watu tindikali nawalisha sumu
 
Kazi wanazofanya hao uliowataja huwezi kulinganisha na maandamano ya chadema ht kidogo. Ni ujinga kujiunga wanywa gongo, wamwagia watu tindikali nawalisha sumu

huu ni upuuzi wa hali ya juu,kwani siyo wanasiasa? Unajua nyie watoto wa mafisadi na wabakaji na wauaji wa makada wa ccm mmelaaniwa! Au ulikuwa una maana gan?kwa hyo msomi kuwa ccm ni sahih eti anafanya kazi maalum na akijiunga chadema ni makosa?? Laana inawatafuna nyie vijana hamuoni na wala hamskii chochote,ccm ni wauza madawa ya kulevya,mafisadi wakubwa na walaaaniwa na wauaji wakubwa na wewe ukiwemo!
 
Back
Top Bottom