Dr. Bilal: Nitaongoza nchi kisayansi

Dr. Bilal: Nitaongoza nchi kisayansi

Nimekubali Tanzania tunapenda sana madaraka yaani ccm pamoja na miaka iliyokaa madarakani bado kila moja anautamani urais ili kwenda kulihujumu Zaidi Taifa, JK aliingia na sera ya maisha bora kwa kila mtanzania leo ni maisha duni kwa kila mtanzania
 
huyu babu akiongeaga huwa nahisi muda wowote anadondoka chini na roho inaacha mwili!!!!too damn old with that sick vibrating tone....enjoy your pension old man.

nakwambia mwaka huu kazi tunyo,hata asiyejua kuongea nae anataka kuongea
 
hyo cv itatusaidia nn tucojua kesho yetu? hv hawa ccm wanatuchukuliaje ss? wana jipya gani na wakati they are part of the system? Watz tusidanganyike!
 
Kipi kilichomshinda kuendesha nchi kisayansi kama Makamu wa Rais hadi asubiri kuwa Rais ndiyo atumie hiyo sayansi yake kuendesha nchi? Na hii sayansi yenyewe anayozungumzia ni sayansi ipi?
kwanza hao walibdilisha mitahara ya elimuu,commerce n bookiping tangu lini
 
Miiko gani ya uongozi atakayoisimamia wakati chama chake kilishaikataa miiko hiyo kwenye rasimu ya Mzee Warioba?
 
Utiriri wa wagombea Urais toka chma Tawala ni ishara mbaya kwa Taifa!! Nafikiri this year CCM itakuwa wanataka kuvunja record ..................... Hata USA na ukubwa wa ile nchi hawatatufukia kwa UTITIRI wa wagombea!

So far:
  1. Lowasa
  2. Wasira
  3. Mwigulu
  4. Muhongo
  5. Nyerere
  6. Ngeleja
  7. Yule Kijana
  8. Mwandosya
  9. Sitta
  10. Bilali
  11. Yule Mama Balozi
  12. Karume
  13. Magufuli

Tunasubiri
  1. Makamba
  2. Membe
  3. Pinda
  4. Kigwangalla

Nafikir wengine nimewasahau ...................!!

Ni kweli umesahau tena umemsahau mtu muhimu sana ASUMPTA MSHAMA
 
Huyu mwanasayansi amenifanya nijiulize swali hili. Kwanini tuna makamu wa raisi?!!!!
 

Alipotakiwa kuwatoa hofu watu wanaodhani kuwa ana mitazamo ya kihafidhina, Dk Bilal alisema yeye ni mwanasayansi na siku zote sayansi inabadilika kulingana na mazingira.

“Hakuna uamuzi uliokuwa sahihi zaidi ya uamuziwa kisayansi. Mimi siku zote uamuzi wangu unafuata utaratibu huo, ndivyo nilivyolelewa na kufunzwa na nitaendelea kuongozwa kisayansi,” alisema.


Chanzo: Mwananchi

Mhhh...
 
Pamoja na huu utitiri hakuna hata mmoja mwenye sifa ya kuwa Rais.

Utiriri wa wagombea Urais toka chma Tawala ni ishara mbaya kwa Taifa!! Nafikiri this year CCM itakuwa wanataka kuvunja record ..................... Hata USA na ukubwa wa ile nchi hawatatufukia kwa UTITIRI wa wagombea!

So far:
  1. Lowasa
  2. Wasira
  3. Mwigulu
  4. Muhongo
  5. Nyerere
  6. Ngeleja
  7. Yule Kijana
  8. Mwandosya
  9. Sitta
  10. Bilali
  11. Yule Mama Balozi
  12. Karume
  13. Magufuli

Tunasubiri
  1. Makamba
  2. Membe
  3. Pinda
  4. Kigwangalla

Nafikir wengine nimewasahau ...................!!
 
Unaaandika km Shangazi mpika maandazi.
Unataka utajiwe kimoja kimoja alichokifanya Nchi hii? We muhutu au?
Km ni Mtanzania Basi lzm utajua Mchango wake. Muulize muajiri wako Atakupa ripoti za Huyu Dr.

Galatia wahed!

Kumbe wewe upo kidini zaidi:what: basi umebugi kama akili yako ndio inakupeleka hivyo..!!
 
Huyu angejikalia zake kimya tu ajilie pensheni yake ya uwaziri kiongpzi na umakamu wa rais na vimwana wake.
 
Back
Top Bottom