idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,300
- 38,450
nch ipi hiyo atakayoongoza huyu?
Ya wadanganyika .!
nch ipi hiyo atakayoongoza huyu?
Huyo si alikuwa na au yupo kwenye uongozi, kipi kafanya cha maana?
He is the second person from top, why can't do all these. Huu ni ubabaishaji. Kimemshinda nini kufanya akiwa hapo kwa miaka kumi? Huyu anaongeza genge tu
Utiriri wa wagombea Urais toka chma Tawala ni ishara mbaya kwa Taifa!! Nafikiri this year CCM itakuwa wanataka kuvunja record ..................... Hata USA na ukubwa wa ile nchi hawatatufukia!!
Kuna wazee wana utani...
Miaka 10 ya umakamu wa urais kafanya nini zaidi ya kuzindua visima...?
Mzee kaamua alikuwa anabaniwa fursa sasa anataka ashike usukani mwnyw
Then, hana cha maana alicho fanya, apumzike kwa amani.kukata utepe kwa ajili ya uzinduzi
Rais anaahidi kufanya hayo ilhali ktk kipindi chake hajaonesha lolote.
Halafu wadau msisahau kuwa jamaa ni BOSI WA UDOM:drama: