Ncha ya Mkukina
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 561
- 694
Hapo timu Fatima tunaafikiWakoloni walitumia dini kutugawa na kututawala
Asante
Hapo timu Fatima tunaafikiWakoloni walitumia dini kutugawa na kututawala
Hapa si afiki kabisa..rejea historia ya Bara Africa kabla a karne ya 15, sembuse mkutano wa Berlin Karne ya 18? Hujaijua bado historia yako nduguNigeria ila kabla yao makabila yaliyokuwepo yalipigana na kushambuliana wao Kwa wao mpaka kuuzana kama watumwa hivyo kusema dini zilizoletwa ni tatizo kwa mtu mweusi bado ni hoja dhaifu.
Myahudi hayupo. Ni tengenezo LA shetaniBinadamu WOTE tumepewa uhuru wa kufikiri na kuchagua. Hivi wayahudi bado wapo au kuna "wahayahudi" wamewekwa ili kuongezea chumvi urongo wa Magharibi??
Watawala wa jadi wa kiafrika pia walihusika na biashara ya utumwa kwa kuuza wahalifu au mateka kumbuka hata makabila tofauti yalipigana ili kupanua tawala zao mfano soma historia ya mirambo ipo hata humu jf ila umeamua kuangalia upande mmoja wa sarafu na hapo si sawa nasisitiza tena kusema dini za kigeni ndo kikwazo kwa mtu mweusi ni hoja dhaifu.Hapa si afiki kabisa..rejea historia ya Bara Africa kabla a karne ya 15, sembuse mkutano wa Berlin Karne ya 18? Hujaijua bado historia yako ndugu
Vya kwetu vip?Biblia ni paukwa pakawa, afadhali ya mkwawa na kimweri ni watu halisi, hivi nyi mbona wayahudi wamekurogeni akili, vya kwenu mmetupa chini na kukumbatia vya kwao
Anamaanisha matambiko (dini za asili)Vya kwetu vip?
Kumbe hujui mpaka Leo kuwa unakosea au unapatia? haya ni matatizo ya ndani kweli kwelinaamini,naweza kuwa nakosea
ukija ushahidi unaoonyesha otherwise nitabadili imani
lakini kupasua mwezi vipande viwili sio imani
unless uniambie quran haikumaanisha mohamed alipasua mwezi "literally"
Ndio hatuletee angalau kitabu kimoja kilichoandikwa na wakwetu , chenye kueleza mwanzo wa dunia alau kwa uchacheAnamaanisha matambiko (dini za asili)
Hujui unacho kizungumzia, domestic wars ni vitu vya kawaida, tunazungumzia biashara ya binadamu, nguvu kazi iliyokwenda kujenga na kustaarabisha ulaya na asiaWatawala wa jadi wa kiafrika pia walihusika na biashara ya utumwa kwa kuuza wahalifu au mateka kumbuka hata makabila tofauti yalipigana ili kupanua tawala zao mfano soma historia ya mirambo ipo hata humu jf ila umeamua kuangalia upande mmoja wa sarafu na hapo si sawa nasisitiza tena kusema dini za kigeni ndo kikwazo kwa mtu mweusi ni hoja dhaifu.
We kabila gani? Tuambie Nani mtemi wako?Vya kwetu vip?
Soma mada Ndugu, au umekunywa chimpumu unakurupukia huku????Ndio hatuletee angalau kitabu kimoja kilichoandikwa na wakwetu , chenye kueleza mwanzo wa dunia alau kwa uchache
AsanteAnamaanisha matambiko (dini za asili)
Asante ndugu