Dr. Batilda Amsalimia Mhe. Ruto "Shikamoo"

Dr. Batilda Amsalimia Mhe. Ruto "Shikamoo"

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
Daah! Sijui ndo kukosa kujiamini ama ni nini. nilikuwa naangalia KTN TV taarifa ya habari ya saa 3 usiku leo (4/4/2013) wakati Mhe. Dr. Baloz Batilda akimpa mkono Naibu Raisi wa Kenya Mhe. Ruto akaangusha na Shikamoo daah! nilichoka hivi kweli Batilda ni wa kumpa Shikamoo Ruto? au ndo confidence ilipotea kabisa. Mama jiamini wewe Dr wa PhD unaogopa namna hiyo??

Update:
Batilda amezaliwa 19/10/1965 wakti Ruto 21/12/1966 imekaaje hapo? wewe waweza kumsalimia Shikamoo mdogo wako? mama Confidence ZERO
 
Daah! Sijui ndo kukosa
kujiamini ama ni nini. nilikuwa naangalia KTN TV taarifa ya habari ya
saa 3 usiku leo (4/4/2013) wakati Mhe. Dr. Baloz Batilda akimpa mkono
Naibu Raisi wa Kenya Mhe. Ruto akaangusha na Shikamoo daah! nilichoka
hivi kweli Batilda ni wa kumpa Shikamoo Ruto? au ndo confidence ilipotea
kabisa. Mama jiamini wewe Dr wa PhD unaogopa namna hiyo??

Mpaka wawezeshwe ndo confidence inakuwepo
 
Sasa tusubiri hiyo jumanne tuone viroja vingine huko kwenye kuapishwa!! ujumbe toka TZ utakuja na yapi
 
Shikamoo kwa Tanzania kigezo kikubwa kuliko vyote ni Umri. Siyo Degree. Ruto is how old? na Batilda is how old? Do you happen to know?

Daah! Sijui ndo kukosa kujiamini ama ni nini. nilikuwa naangalia KTN TV taarifa ya habari ya saa 3 usiku leo (4/4/2013) wakati Mhe. Dr. Baloz Batilda akimpa mkono Naibu Raisi wa Kenya Mhe. Ruto akaangusha na Shikamoo daah! nilichoka hivi kweli Batilda ni wa kumpa Shikamoo Ruto? au ndo confidence ilipotea kabisa. Mama jiamini wewe Dr wa PhD unaogopa namna hiyo??
 
Kibongobongo si ajabu mdogo wako wa kike umempita miaka mitano, kama anataka kudumisha kabisa mila na utamaduni, sio tu akuamkie, bali hata na goti unapigiwa kabisa.

Ni mambo ya mila, sasa katika regional politics yanakwendaje hapo.
 
Mmeshazoea kutukanwa na kudhalilishwa na Mshumbusi pale Kinondoni basi mnajua kila mwanamke wa kiTanzania ni wa namna hiyo.
acha maneno ya umbea,nikirudi kwa balozi Batlida sioni tatizo lolote kubwa,mbona baadhi ya wazee wa kichagga huwa wanawaamkia watoto wao shikamoo mtoto!!!
 
Batilda amezaliwa 19/10/1965 wakti Ruto 21/12/1966 imekaaje hapo? wewe waweza kumsalimia Shikamoo mdogo wako? mama Confidence ZERO
 
acha maneno ya umbea,nikirudi kwa balozi batlida sioni tatizo lolote kubwa,mbona baadhi ya wazee wa kichagga huwa wanawaamkia watoto wao shikamoo mtoto!!!

kuhusu huyo Batilda sijui but hapo kwenye mzee kumwambia mtoto shikamoo NAKATAA.Nimeishi moshi muda mrefu but ndio naona hiki kitu kwako.
 
Batilda amezaliwa 19/10/1965 wakti Ruto 21/12/1966 imekaaje hapo? wewe waweza kumsalimia Shikamoo mdogo wako? mama Confidence ZERO

HATA KAMA ANGEKUWA AMEMZIDI KWELI!
DIPLOMASIA NA TAMADUNI WAPI NA WAPI?
huwa nashangaa kweli napowaona wanawake viongozi wakiwapigia magoti wenzao!
hv ulishawahi kuona siku salma kikwete akipokea wageni pale airport?jamani huwa anakunja goti mpka huruma!usikute hapo anasema ''good morning,welcome in tanzania'' af na goti!mweeh !mweeeh!
 
Batilda amezaliwa 19/10/1965 wakti Ruto 21/12/1966 imekaaje hapo? wewe waweza kumsalimia Shikamoo mdogo wako? mama Confidence ZERO

Sote tunaamkia watu watatu.1:Tunamwamkia unayempenda. 2: Tunamwamkia tunayemhofu na 3: Tunamwamkia tunayempenda.

Sasa kwa dada yetu kumpa shikamoo bwana Ruto lazima yuko katika moja ya sababu hizi tatu. Kwa hiyo alifanya vizuri.
 
Daah! Sijui ndo kukosa kujiamini ama ni nini. nilikuwa naangalia KTN TV taarifa ya habari ya saa 3 usiku leo (4/4/2013) wakati Mhe. Dr. Baloz Batilda akimpa mkono Naibu Raisi wa Kenya Mhe. Ruto akaangusha na Shikamoo daah! nilichoka hivi kweli Batilda ni wa kumpa Shikamoo Ruto? au ndo confidence ilipotea kabisa. Mama jiamini wewe Dr wa PhD unaogopa namna hiyo??
Batilda na Ruto wamepishana mwaka mmoja, ingawa Batilda ni mkubwa, ila kwa heshima ya kiafrika, Mwanamke ataamkia shikamoo kwa mtu yoyote alkiyemzidi umri au cheo!, hivyo Dr. Batild did the right thing kumwamkia Ruto Shikamoo!.

Hata ikitokea mke ni mkubwa kuliko mume, bado atamwamkia shikamoo kicheo cha ndoa tuu!. Mimi nina baba zangu wadogo, nawaamkia wake zao shikamoo, huku nimewazidi umri kwa hoja mke wa baba ni mama yako, regardless ana umri gani!.

Siku ukipata fursa, hudhuria ziara yoyote ya JK, sikilizia shikamoo anazozipata kwa watu ambao kwa macho tuu utawajua wamemzidi umri!, shikamoo hizo ni za heshima kwa mkuu wa nchi, na sio za umri!.
Dr. Batilda ni mama wa heshima sana ya kiafrika na kidini, sikumbuki kuwahi kumuona bila hijab!, mimi ni wa late 60's, nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, sikumwamkia nikimdhania ni wa 70's, alikuwa na mwalimu wangu fulani wa Tambaza tukimwita Miss Juma!, ndipo mwalimu akaniambia "nyie watoto siku hizi mnajidai mmekuwa, mwamkie huyu shikamoo, huyo ni mama yako!, nilipigundua ni wa early 60's sasa ndio natoa shikamoo ya heshima ya umri!.

NB!, Shikamoo ni salam ya kitumwa ikimaanisha niko chini ya miguu yako!. Wakoloni Waarabu nao wametifanya vibaya, kama valivyotufanya wazungu na kasumba ya kizungu!.

Pasco.
 
Daah! Sijui ndo kukosa kujiamini ama ni nini. nilikuwa naangalia KTN TV taarifa ya habari ya saa 3 usiku leo (4/4/2013) wakati Mhe. Dr. Baloz Batilda akimpa mkono Naibu Raisi wa Kenya Mhe. Ruto akaangusha na Shikamoo daah! nilichoka hivi kweli Batilda ni wa kumpa Shikamoo Ruto? au ndo confidence ilipotea kabisa. Mama jiamini wewe Dr wa PhD unaogopa namna hiyo??
Hiyo ni matokeo ya mfumo dume wa kiafrika tuliorithi kutoka kwa mababu zetu, mwanamke regardless of her age anampa 'shikamoo' mwanaume! Sisi kwa mila na desturi za mfumo dume wa kiafrika si ajabu mama kikongwe wa 65yrs akampa 'shikamoo' kijana wa 18yrs as long as kuna kaundugu like huyo kikongwe anamwita kijana 'baba / babu'!!!
 
Mawazo kama ua wakina Pasco ni mawazo yenye lengo la kuwafanya wanawake waendelee kuwa inferior kwa wanaume. Anasema ni sheria ya kiafrika kuamkia; sijui huyu bwana Africa anaidefine vipi?
 
Batilda na Ruto wamepishana mwaka mmoja, ingawa Batilda ni mkubwa, ila kwa heshima ya kiafrika, Mwanamke ataamkia shikamoo kwa mtu yoyote alkiyemzidi umri au cheo!, hivyo Dr. Batild did the right thing kumwamkia Ruto Shikamoo!.

Hata ikitokea mke ni mkubwa kuliko mume, bado atamwamkia shikamoo kicheo cha ndoa tuu!. Mimi nina baba zangu wadogo, nawaamkia wake zao shikamoo, huku nimewazidi umri kwa hoja mke wa baba ni mama yako, regardless ana umri gani!.

Siku ukipata fursa, hudhuria ziara yoyote ya JK, sikilizia shikamoo anazozipata kwa watu ambao kwa macho tuu utawajua wamemzidi umri!, shikamoo hizo ni za heshima kwa mkuu wa nchi, na sio za umri!.
Dr. Batilda ni mama wa heshima sana ya kiafrika na kidini, sikumbuki kuwahi kumuona bila hijab!, mimi ni wa late 60's, nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, sikumwamkia nikimdhania ni wa 70's, alikuwa na mwalimu wangu fulani wa Tambaza tukimwita Miss Juma!, ndipo mwalimu akaniambia "nyie watoto siku hizi mnajidai mmekuwa, mwamkie huyu shikamoo, huyo ni mama yako!, nilipigundua ni wa early 60's sasa ndio natoa shikamoo ya heshima ya umri!.

NB!, Shikamoo ni salam ya kitumwa ikimaanisha niko chini ya miguu yako!. Wakoloni Waarabu nao wametifanya vibaya, kama valivyotufanya wazungu na kasumba ya kizungu!.

Pasco.

Pasco, mmmh. Batlida ni Baloz wa tz kenya, chochote afanyacho kenya na hasa katika diplomatic table kama hilo la kuonana na ruto imply tz yote imefanya. Najua unampeeenda yule mama, but tendea haki fikra je NI SAHIHI TZ YOOTE KUMPA SHKAMOO RUTO? or ni failure katika diplomatic communication and statutory behaviours?
Au waona sawa tu balazi wetu na wengini sitawataja kupetiwa mgongoni na mkuu fulan wa nchi na kuambiwa GOOD BOY,, GOOD LADY... Hapana Pasco
 
Mawazo kama ua wakina Pasco ni mawazo yenye lengo la kuwafanya wanawake waendelee kuwa inferior kwa wanaume. Anasema ni sheria ya kiafrika kuamkia; sijui huyu bwana Africa anaidefine vipi?

Pasco anajua afrika ni kanda ya ziwa ambaopo kwa wasukuma mwanamke sikuzote ni mdogo tu naomba tabia hiyo nyani nao wameicopy na kuipaste nyani wana mzalaua sana mwana mke bila kujari umri lakini akimuona hata mtoto wakiume miaka 3 heshima debe...
 
Last edited by a moderator:
Pasco anajua afrika ni kanda ya ziwa ambaopo kwa wasukuma mwanamke sikuzote ni mdogo tu naomba tabia hiyo nyani nao wameicopy na kuipaste nyani wana mzalaua sana mwana mke bila kujari umri lakini akimuona hata mtoto wakiume miaka 3 heshima debe...
No sio dharau, bali ni kutokana na ile traditional position ya mwanamke katika "yale" siku zote huwa chini!, hii mitindo ya kisasa ya wao kuja juu ni katika manjonjo tuu!, ndio maana hata Mungu, ameiweka pale chini!, katika uumbaji, angeweza tuu kuiweka pale kwenye kitovu, ili "somo" lifanyike while standing on equal basis!, lakini kaiweka pale, ili mmoja awe juu na mwingine awe chini!.
Hapa nazungumzia tuu position!, ndio maana kwa makabila mengine, hata mtoto wa kiume anakazwa kulia lia kama mwanamke, tena ukiambia usiwe kama mwanamke, kwa wengine ni umetukanwa!.

Ni ukweli ki baolojia mwanamme na mwanamke tuko sawa, ila Mungu alianza kwanza kumuumba Adamu, Eve aliumbwa tuu ili kumtumikia Adamu, hivyo hao wanawake tumeumbiwa sisi, watutumikie!.
Pasco.
 
Batilda amezaliwa 19/10/1965 wakti Ruto 21/12/1966 imekaaje hapo? wewe waweza kumsalimia Shikamoo mdogo wako? mama Confidence ZERO

Kwa takwiimu hizo yamkini Ruto alitakiwwa amsalimu Batilida shikamoo dada au wangesalimiana kwa Batilida kumwambia Ruto, habari, hujambo au mambo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom