minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,340
- 22,347
Ccm wakae wakijua kuwa matendo anayotenda MTU kwa makusudi na akijua adhali zake mbele ya Mungu ni dhambi. Tunayaona MA CCM yanaingia kutawadha eti yafanye SWALA TAKATIFU Msikitini yananyoosha Mikono na kufunika vifua hapo hapo ndo ma 'master mind' was wizi was kura na mipango yamakusudi ya kudhurumu wenzao wapinzani. Oneni Woga kwa Mwenyezi Mungu, wewe muumini, kuna hukumu yako wenzio tunawashitakia.
Wa Kristo wengi unawaona makanisani wamefumba macho lakini ni washirika kuandaa plan ovu dhidi ya wapinzani Mungu anawaona!
Katika dhuruma tunazozisikia na kuziona mitandaoni na ripoti mbali mbali kuelekea uchaguzi huu we mitaa huwezi sikia kiongozi yeyote anaikemea Ccm na wale wanaofanya faulu zote hizi dhidi ya wapinzani MUNGU ANAWAONA CHEZA NA MENGINE YOTE SIO HAKI ZA WATU.
Cha ajabu Maaskofu, Mashehe, maimamu,mapadre, wachungaji, waijiristi, hatuwasikii. Hivi ninyi ...???
CCM wasomewe Albadiri mapema kwa faulu wanazowafanyia wapinzani huko mikoani wilayani