Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Akawatishe anaowafanya waende haja. ***** zake.
Unamtisha nani wewe takataka chafu? Pumbavu sana
Unamtisha nani wewe takataka chafu? Pumbavu sana
kwamba utamfanya nini wewe mwanamke wa lumumba? Hebu weka simu chini kampikie mumewe jikoni huko.Naona unafurahi kuniqoute,nakupa last warning
Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi
Kwa uchapa kazi wa magufuli,ushindi wa kishindo unasubiriwa
He is very right.
Maana kwa sasa upinzani haupo.
Wewe mwanamama wa lumumba unapata wapi muda wa kubwabwaja humu jukwaani?Wapiga kura million 19 wamejiandikisha
Go *** yourself.
Mda utafika tena Mungufuli anatufikisha haraka huko kama utani vile mtahisi ni ndoto au mnaangalia movie.Ingia msituni.
Ni uwendawazimu kwa CCM kuongelea ushindi wakati wasimamizi wa uchaguzi wanatumika kulazimisha wagombea wa CCM kupita bila kupingwa.TAARIFA
01 Novemba, 2019
Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asubuhi ya leo, ametembelewa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam.
Viongozi hao wa Baraza la Wawakilishi pamoja na mambo mengine, wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu.
Aidha, akizungumza na viongozi hao, Dkt. Bashiru amewahakikishia kuwa, CCM imejipanga kuhakikisha inashinda kwa kishindo na ushindi wa awamu hii utakuwa ni ushindi wa kihistoria katika Chama Chetu.
"Hakuna wa kuizuia CCM kushinda kwa kishindo awamu hii, Chama kimetimiza wajibu wake na wananchi wanaona mafanikio makubwa yanayoendelea kupatikana kupitia serikali ya awamu ya tano, hivyo ushindi wa kishindo ni hakika." Dkt. Bashiru
Wajumbe hao kutoka Baraza la Wawakilishi ni Ndg. Rashid Shamsi Jimbo la Magomeni Zanzibar, Shaibu Ali Said (Chonga), Mtumwa Yusuph (Bumbwini), Masoud Masoud (Bububu), Bihindi Khamis Mkoa wa Kaskazini Pemba (viti maalum).
Imetolewa na;
CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI NDOGO LUMUMBA. View attachment 1250990
Ukiandika uhalo lazima ushughurikiweNaona unafurahi kuniqoute,nakupa last warning
Ni kweli kwani Upinzani umezuiliwa kufanya siasa bali kushinda Mahakamani CCM ni kuzungum Nchi nzima kufanya siasaTAARIFA
01 Novemba, 2019
Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asubuhi ya leo, ametembelewa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam.
Viongozi hao wa Baraza la Wawakilishi pamoja na mambo mengine, wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu.
Aidha, akizungumza na viongozi hao, Dkt. Bashiru amewahakikishia kuwa, CCM imejipanga kuhakikisha inashinda kwa kishindo na ushindi wa awamu hii utakuwa ni ushindi wa kihistoria katika Chama Chetu.
"Hakuna wa kuizuia CCM kushinda kwa kishindo awamu hii, Chama kimetimiza wajibu wake na wananchi wanaona mafanikio makubwa yanayoendelea kupatikana kupitia serikali ya awamu ya tano, hivyo ushindi wa kishindo ni hakika." Dkt. Bashiru
Wajumbe hao kutoka Baraza la Wawakilishi ni Ndg. Rashid Shamsi Jimbo la Magomeni Zanzibar, Shaibu Ali Said (Chonga), Mtumwa Yusuph (Bumbwini), Masoud Masoud (Bububu), Bihindi Khamis Mkoa wa Kaskazini Pemba (viti maalum).
Imetolewa na;
CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI NDOGO LUMUMBA. View attachment 1250990
Asshole!Uncircumcised baboon from lumumba street and his poor comment
Hebu wapeni wapinzani form; na acheni kutumia Jeshi la Police na watendaji wa umma vibaya... hivi hamuoni aibu kila uchaguzi hadi mlalamikiwe? Tushawachoka sasa!!TAARIFA
01 Novemba, 2019
Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asubuhi ya leo, ametembelewa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam.
Viongozi hao wa Baraza la Wawakilishi pamoja na mambo mengine, wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu.
Aidha, akizungumza na viongozi hao, Dkt. Bashiru amewahakikishia kuwa, CCM imejipanga kuhakikisha inashinda kwa kishindo na ushindi wa awamu hii utakuwa ni ushindi wa kihistoria katika Chama Chetu.
"Hakuna wa kuizuia CCM kushinda kwa kishindo awamu hii, Chama kimetimiza wajibu wake na wananchi wanaona mafanikio makubwa yanayoendelea kupatikana kupitia serikali ya awamu ya tano, hivyo ushindi wa kishindo ni hakika." Dkt. Bashiru
Wajumbe hao kutoka Baraza la Wawakilishi ni Ndg. Rashid Shamsi Jimbo la Magomeni Zanzibar, Shaibu Ali Said (Chonga), Mtumwa Yusuph (Bumbwini), Masoud Masoud (Bububu), Bihindi Khamis Mkoa wa Kaskazini Pemba (viti maalum).
Imetolewa na;
CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI NDOGO LUMUMBA. View attachment 1250990
Team Mapambio kaka....kila kitu ni Yes Yes Mzungu kala fenesi..Praise team
Kujiandikisha na kupiga kura ni vitu viwili tofauti mjinga wewe. Maana watu walilazimishwa kuandika jina watendaji walikua wanasema kama hujajianndikisha hupati namba ya NIDA,shithole.Wapiga kura million 19 wamejiandikisha
Mwanamama wa Lumumba,naona jana mmeo hajakutia vizuri umejaa nyege tu hapo ulipo.Asshole!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] alaaa nilisahau kidogo kumbe vijana wa lumumba ni zero brain, tehe tehe!Niwatafsilie hapo, Nyani msiotahiliwa kutoka mtaa wa lumumba, na maoni yenu ya kijuha!! Poleni sana.