Dr. Bashiru: CCM itashinda kwa kishindo

Dr. Bashiru: CCM itashinda kwa kishindo

Kwenye Biblia Takatifu kuna maneno yanasema: UKITAKA KUTOA SADAKA YAKO MADHABAHUNI NA UNA NENO NA NDUGU YAKO, USIITOE IACHE HAPO NENDA UPATANE NA NDUGU YAKO KISHA NJOO UITOE HIYO SADAKA , bila kufanya hivyo Mungu hapokei hiyo SADAKA YAKO!!
Sio maneno ya wapinzani ni maneno katika Biblia! Sasa tujitafakari wapinzani hawajaombwa suluhu wana neno na wana CCM nyie Bashiru, Mwijage, Kitwanga, Musimba , Makonda, Warioba, Makamba, nk, nk, etc, etc!!!!
 
Mashetani hawa maviviem hujuma wanazowafanyia wapinzani ni aibu kubwa kwa taifa na dunia kwa ujumla.
 
TAARIFA

01 Novemba, 2019

Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asubuhi ya leo, ametembelewa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam.

Viongozi hao wa Baraza la Wawakilishi pamoja na mambo mengine, wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu.

Aidha, akizungumza na viongozi hao, Dkt. Bashiru amewahakikishia kuwa, CCM imejipanga kuhakikisha inashinda kwa kishindo na ushindi wa awamu hii utakuwa ni ushindi wa kihistoria katika Chama Chetu.

"Hakuna wa kuizuia CCM kushinda kwa kishindo awamu hii, Chama kimetimiza wajibu wake na wananchi wanaona mafanikio makubwa yanayoendelea kupatikana kupitia serikali ya awamu ya tano, hivyo ushindi wa kishindo ni hakika." Dkt. Bashiru

Wajumbe hao kutoka Baraza la Wawakilishi ni Ndg. Rashid Shamsi Jimbo la Magomeni Zanzibar, Shaibu Ali Said (Chonga), Mtumwa Yusuph (Bumbwini), Masoud Masoud (Bububu), Bihindi Khamis Mkoa wa Kaskazini Pemba (viti maalum).

Imetolewa na;
CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI NDOGO LUMUMBA. View attachment 1250990
Ni uwendawazimu kwa CCM kuongelea ushindi wakati wasimamizi wa uchaguzi wanatumika kulazimisha wagombea wa CCM kupita bila kupingwa.

Bashiru anatakiwa aone aibu kuzungumzia ushindi huku wapinzani wake wakinyimwa fomu za uteuzi. Ni uwendawazimu mkubwa ambao mwenye akili na hekima, hata kama ni kidogo sana, huwezi kujivunia ujuha wa namna hiyo.

Afadhali angetamka kuwa safari hii kwa mara ya kwanza tutawatangaza wagombea wengi wa CCM kuwa viongozi hata bila ya kupigiwa kura kwa idadi ambayo haijawahi kutokea.
 
TAARIFA

01 Novemba, 2019

Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asubuhi ya leo, ametembelewa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam.

Viongozi hao wa Baraza la Wawakilishi pamoja na mambo mengine, wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu.

Aidha, akizungumza na viongozi hao, Dkt. Bashiru amewahakikishia kuwa, CCM imejipanga kuhakikisha inashinda kwa kishindo na ushindi wa awamu hii utakuwa ni ushindi wa kihistoria katika Chama Chetu.

"Hakuna wa kuizuia CCM kushinda kwa kishindo awamu hii, Chama kimetimiza wajibu wake na wananchi wanaona mafanikio makubwa yanayoendelea kupatikana kupitia serikali ya awamu ya tano, hivyo ushindi wa kishindo ni hakika." Dkt. Bashiru

Wajumbe hao kutoka Baraza la Wawakilishi ni Ndg. Rashid Shamsi Jimbo la Magomeni Zanzibar, Shaibu Ali Said (Chonga), Mtumwa Yusuph (Bumbwini), Masoud Masoud (Bububu), Bihindi Khamis Mkoa wa Kaskazini Pemba (viti maalum).

Imetolewa na;
CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI NDOGO LUMUMBA. View attachment 1250990
Ni kweli kwani Upinzani umezuiliwa kufanya siasa bali kushinda Mahakamani CCM ni kuzungum Nchi nzima kufanya siasa
 
TAARIFA

01 Novemba, 2019

Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Asubuhi ya leo, ametembelewa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es salaam.

Viongozi hao wa Baraza la Wawakilishi pamoja na mambo mengine, wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu.

Aidha, akizungumza na viongozi hao, Dkt. Bashiru amewahakikishia kuwa, CCM imejipanga kuhakikisha inashinda kwa kishindo na ushindi wa awamu hii utakuwa ni ushindi wa kihistoria katika Chama Chetu.

"Hakuna wa kuizuia CCM kushinda kwa kishindo awamu hii, Chama kimetimiza wajibu wake na wananchi wanaona mafanikio makubwa yanayoendelea kupatikana kupitia serikali ya awamu ya tano, hivyo ushindi wa kishindo ni hakika." Dkt. Bashiru

Wajumbe hao kutoka Baraza la Wawakilishi ni Ndg. Rashid Shamsi Jimbo la Magomeni Zanzibar, Shaibu Ali Said (Chonga), Mtumwa Yusuph (Bumbwini), Masoud Masoud (Bububu), Bihindi Khamis Mkoa wa Kaskazini Pemba (viti maalum).

Imetolewa na;
CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI NDOGO LUMUMBA. View attachment 1250990
Hebu wapeni wapinzani form; na acheni kutumia Jeshi la Police na watendaji wa umma vibaya... hivi hamuoni aibu kila uchaguzi hadi mlalamikiwe? Tushawachoka sasa!!
 
Kama walivyoshinda UANDIKISHAJI WAPIGA KURA.

Hahahaha...Only in Tanzania.
 
Back
Top Bottom