Dr. Bashiru: CCM itashinda kwa kishindo

Dr. Bashiru: CCM itashinda kwa kishindo

Wapiga kura million 19 wamejiandikisha

Maisha yako, hakuna watanzania 19m wajinga. Kama wapo basi hawazidi 7m. Hata siku ya uchaguzi wekeni waliopiga kura kuwa ni 30m na ccm mseme imepata 29.9m, lakini ukweli haujifichi. Hamkubaliki na hamtokubalika maana kizazi kimebadilika. Tumieni nguvu kubwa, fanyeni uhayawani wote lakini bado hamna mvuto.
 
Not only Uncircumcised but also born from the damned family, wajinga sana hawa watu.
Ukoo wa panya huu maana ni waharibifu mno, wezi kwa stye wnazoziweza na wanafanana kabisa na swine wachafu mpaka kwenye ubongo.. wanayoyafanya wanavunga then wanajiheabia ushindi haram.. Ni Ushetani, Ni uibilisi maana ndye pekee anayeimitate kila chema cha mugu na kukifanyia uovu.. Hawa ninawachukia kama dhambi na ifike mahali Bana wa Majeshi awateremshie moto awachiome wote na vizazi vyao kama sodoma.. Wamefikia hatu mbaya mno hasa hii ya sasa.. Kazi za JK anahesabu kafanya yeyey afu anadhihaki waliomtangulia hawakufnya kitu.. Si ushetani huu? afu wizi wa cash ni kwa mwendo wa kisulisuli yeye na wanaye wakuu wa Mikoa wachache na kweye idara nyeti za akina Dottle.. Wanatafuna kama za kwao hawajui tunavyoumizwa kwenye kodi,
 
Huyu jamaa hajui maana ya kishindo, hata kwenye uandikishaji wa wapiga kura walikuwa wanaomba watu wajiandikishe ikafika hatua wakaw wanafuata watu majumbani, wakaongeza siku, wakakiri zoezi linasuasua lakini mwisho wakasema " watu wamejitokeza kwa kishindo kuliko awamu zote" yaani yanajitia dole na kunusa wakitegemea inukie manukato..msewwwww
 
"wamempongeza Katibu Mkuu kwa kuendelea kufanya kazi ya kukiimarisha Chama na hasa kusimamia misingi ya haki na usawa katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa upande wa Tanzania Bara, ambao unatarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba, Mwaka huu"

Nimeamini kweli katika jukwaa hili vipanga mpo wengi na vilaza tupo wachache ambao tunapitwa na uelewa mdogo wa mambo ya misingi ya haki na usawa ktk zoezi hili linaloendelea kote nchini. Hingereni zenu waungwana.
 
Ccm tunaenda kuandika historia ,tunaenda kushinda kwa 99.9%

99.9 Mbona kidogo, mtashinda kwa 200%, ila wapiga kura ndio hamtapata. Hao wachache watakaojitokeza pikeni na idadi iwe kubwa kama mlivyopika waliojiandikisha. Lengo letu la mwanzo kuhakikisha wananchi wengi hawashiriki huo upuuzi limefanikiwa vizuri.
 
Ccm wakae wakijua kuwa matendo anayotenda MTU kwa makusudi na akijua adhali zake mbele ya Mungu ni dhambi. Tunayaona MA CCM yanaingia kutawadha eti yafanye SWALA TAKATIFU Msikitini yananyoosha Mikono na kufunika vifua hapo hapo ndo ma 'master mind' was wizi was kura na mipango yamakusudi ya kudhurumu wenzao wapinzani. Oneni Woga kwa Mwenyezi Mungu, wewe muumini, kuna hukumu yako wenzio tunawashitakia.
Wa Kristo wengi unawaona makanisani wamefumba macho lakini ni washirika kuandaa plan ovu dhidi ya wapinzani Mungu anawaona!
Katika dhuruma tunazozisikia na kuziona mitandaoni na ripoti mbali mbali kuelekea uchaguzi huu we mitaa huwezi sikia kiongozi yeyote anaikemea Ccm na wale wanaofanya faulu zote hizi dhidi ya wapinzani MUNGU ANAWAONA CHEZA NA MENGINE YOTE SIO HAKI ZA WATU.
Cha ajabu Maaskofu, Mashehe, maimamu,mapadre, wachungaji, waijiristi, hatuwasikii. Hivi ninyi ...???
 
Back
Top Bottom