Wana JF,
Greetings..
Namuulizia yule Mama Dr Asha Rose Migiro baada ya kutaka UN, Kwasasa anafanya kazi gani hasa hasa ya kuinua Taifa ? Naskia ni mjuzi wa Sheria ina maana hata darasa la kufundisha hajapatiwa huko nyumbani jamani ?
Naomba kufahamu hili.....
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums