Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Ile kesi ya Mengi dhidi ya RA itakapoanza kuiva DPP ataingilia kati na kuamua kuifuta.. na PCCB wataona kuwa hawana cha kuchunguza kwenye madai ya RA dhidi ya Mengi.. kwa kifupi at the end of the day ubao wa magoli utaonesha 0-0!