Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
KWANINI NIFANYE SETTING NAJUA LAKINI SIJISUMBUI TENA.. NA KUNA KILAZA NIMEMPIGIA HUKO HALOTEL AKANIPA BLABLA ZA SETTING WOYY HAKUNA KITU SO NAENDELEA NA WENGINE ,PAKA WAO WAZIBADILI LINE ZAO SIWE KM TIGO VODA ZANTEL NA NYINGINE UKIWEKA TUU MAMBO YANAKWENDA SAWASetting hahaha pole mkuu
ngoja tuone kama itakuwa ni unlimited data na dedicated speed.tayari halotel wanafanya iyo kitu
Duh nimecheka sana aiseeKWANINI NIFANYE SETTING NAJUA LAKINI SIJISUMBUI TENA.. NA KUNA KILAZA NIMEMPIGIA HUKO HALOTEL AKANIPA BLABLA ZA SETTING WOYY HAKUNA KITU SO NAENDELEA NA WENGINE ,PAKA WAO WAZIBADILI LINE ZAO SIWE KM TIGO VODA ZANTEL NA NYINGINE UKIWEKA TUU MAMBO YANAKWENDA SAWA
mpaka hapo watakapotoa then tutalinganisha. competition ni muhimu wengine wakitoa gharama pia zitashuka.Ngojeni mitandao mingine ingie kwenye io 4g ndo mshindanishe na iyo Tigo ndo mtapata jibu sio 3g vs 4g
UNACHEKA WAKATI NINA HASIRA NA JERO LANGU HEBU NIFUNZE HIZO SETTING ZAO BASIDuh nimecheka sana aisee
SWALA LANGU NI KWANINI KUNA MAMBO YA SETTING YAANI UKITOA LINE UKIRUDISHA UNAAMBIWA UFANYE SETTING OTHERWISE,, UNALIWA KAMA MIE WALINILA JUZI 500 YANFU MBORA NINGEWAPA WASIOJIWEZA HUKO NJIANIYani tigo ni katikati ya jiji la Dar, Tanga, Mwanza, Arusha lakini ukianzia kibaha hakuna lolote ni mwendo wa kobe tu
Achana nao tu endelea na tigo mkuu maana hawa jamaa naona hata promo sijui. Maneno mengi hawana siku ukiwaelewa utarudi tu hawana khiyana hawaUNACHEKA WAKATI NINA HASIRA NA JERO LANGU HEBU NIFUNZE HIZO SETTING ZAO BASI
WEWE WACHA MAMBO YA UCHOYO NIFUNZE SETTING ALAAAAAAAAAchana nao tu endelea na tigo mkuu maana hawa jamaa naona hata promo sijui. Maneno mengi hawana siku ukiwaelewa utarudi tu hawana khiyana hawa
ina maana Tigo hawana VO-LTEKuna kifurushi cha Unlimited kwa lisaa lizima kwa 200 tshs tu.. Kwenye LTE only ni kwamba ukiwa unatumia Tigo lte au 4g kuna mda inakuwa unstable sasa ili uipate muda wote kwenye Android menu ya *#*#4636#*#* unailazimisha ikae 4g muda (sema kwa hii hata mtu akikupigia simu hato kupata) ili upate full speed ya tigo 4g..
Naona Smile tu ndio wana Volte hapa Tanzania maana nilijipigia ikakataa kuconnect.. Hata kuchagua menu ile ya *148*01# haitaki mpaka uchague LTE/GSM (auto)ina maana Tigo hawana VO-LTE
muongo umedanganya mkuuHata upewe GB laki, tatizo speed
yeah ni kwel mkuungoja tuone kama itakuwa ni unlimited data na dedicated speed.
ndio maana wanapigwa bao huko maofisini, ofisi nyingi sasa hivi wamehamia smile.Naona Smile tu ndio wana Volte hapa Tanzania maana nilijipigia ikakataa kuconnect.. Hata kuchagua menu ile ya *148*01# haitaki mpaka uchague LTE/GSM (auto)
hizi hapa data za TcraKwani ktk takwimu za serikali ni mtandao gani una wateja wengi kuliko mitandao mingine yote
Asante sana mkuu vodacom juu zaidihizi hapa data za Tcra
vifurushi vya kupiga
mobile pesa
data ni za mwaka jana mwishoni.
namba kamili na source nenda hapa
Vodacom Tanzania still wins major market share | Knowcache
Asante sana mkuu hapo nimekuelewa vizuriyah line wanabadilisha namba inakuwa ile ile.
ingia kwenye contact halafu nenda setting zake hapo hapo ndani ya contact halafu export contact zako kwenye sd card incase zikipotea contact zako uwe na backup