Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,930
fizzo kaimu kitabu ulichokitaka hiki hapa. Kama unahitaji kingine sema.
Attachments
Last edited by a moderator:
Weka na vingine
waswahili tuna shida sanaaa... mtu katuma kwa moyo sasa unamuambia "weka vingine" kama vile ulimuwekea au unamlipia bundle.unajisikiaje ukatumia lugha nadhifu kama " asante kwa kitabu kizuri, tafadhali kama unaweza naomba vingine".umeona hiyo ndugu yangu?hapo mtu anapata msukumo kukusaidia.
asante
Hivi adobe reader ya phone inalipwa vipi ili kuinstall?.mwenye kujua.
Nimekuelewa mkuu.
Ndugu, hakuna unaemlipa akujibu kwa hiyo tumia lugha nzuri kwa mtu kama unahitaji msaada. ungeuliza hivi "salaam, tafadhali wanajf, naomba kusaidiwa kwa mwenye kujua jinsi ya kuinstall adobe reader ya phone, asanteni." sasa uone watu ambavyo wangejitikeza kukujibu.
nawasilisha tu katika kuelekezana
Ooh,nilikuwa na uharaka fulani,haya ,''tafadhari sana niko chini ya miguu yako,naomba kama unajua namna ya kuinstall adobe reader unisaidie,ubarikiwe sana'.Ndugu, hakuna unaemlipa akujibu kwa hiyo tumia lugha nzuri kwa mtu kama unahitaji msaada. ungeuliza hivi "salaam, tafadhali wanajf, naomba kusaidiwa kwa mwenye kujua jinsi ya kuinstall adobe reader ya phone, asanteni." sasa uone watu ambavyo wangejitikeza kukujibu.
nawasilisha tu katika kuelekezana
Unajua sie wajeshi lugha laini laini inatushinda sana,ndo maana hata kutongoza huwa naajiri dalali.Kifimbo cheza wa jf lazima watu wanyooke.
Ndugu, hakuna unaemlipa akujibu kwa hiyo tumia lugha nzuri kwa mtu kama unahitaji msaada. ungeuliza hivi "salaam, tafadhali wanajf, naomba kusaidiwa kwa mwenye kujua jinsi ya kuinstall adobe reader ya phone, asanteni." sasa uone watu ambavyo wangejitikeza kukujibu.
nawasilisha tu katika kuelekezana
Asante kwa kunielewa na nauhakika utafika mbali sana kama uko hivi yaani upo tayari kupokea marekebisho.Hongera sana
Thanks...
Give me the access plz...