msafiri.razaro
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,244
- 745
Slaa,Mbowe, Sitta na Mwakyembe wameingiaje hapa kwani ndio wanaoongoza serikali au walioamulu idara kuchangia asilimia tano. Sote tunajua Rostam alikuwa fasilitator tuu, dili na Baba Riz1
Zitto alionya kuvunja mkataba wanasheria uchwara wakajifanya kubisha, sasa kwenye court ya kimataifa ya biashara na ya ndani tumekula mweleka na gharama ya fidia ni kubwa kuliko bei waliyokuwa wanataka kutuuzia,
sasa fidia tunalipa na Rostam kaingia ubia na Wamarekani ili kuwaziba wanasiasa midomo, kwenye Symbion hii ilobadilishwa jina toka Dowans hatumsikii Slaa,mbowe,sitta wala Mwakyembe wakati mitambo ni ileile iloitwa chakavu, wamefyata kisa Marekani ina hisa so wakipinga itakula kwao.
Sasa Rostam anakula Fidia,anakodisha Mitambo kama kawa na kelele zimestop kwa nini wahindi wasitudharau?