Mkulima wa kawaida
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 167
- 37
Hatmaye serikali imeanza kuilipa DOWANS baada ya kesi iliyokuwa mahakamani kuamuliwa DOWANS ilipwe.
Hatmaye serikali
imeanza kuilipa dowans baada ya kesi iliyokuwa mahakamani kuamuliwa
dowans ilipwe.
wamelipwa kwa bajeti ipi sasa,walikata kwenye bajeti za wizara zote miezi miwili iliyopita kuchangia hizo hela,lilikuwa agizo la serikali kwa maandishi kwenye taasisi zote za serikali kwa kisingizio cha kuchangia uendeshaji wa TANESCO
wamelipwa kwa bajeti ipi sasa,
sii unajua tena wenzetu afanyalo mzungu tena mmarekani ni sahihi,afanyalo muarabu ni baya haramuZitto alionya kuvunja mkataba wanasheria uchwara wakajifanya kubisha, sasa kwenye court ya kimataifa ya biashara na ya ndani tumekula mweleka na gharama ya fidia ni kubwa kuliko bei waliyokuwa wanataka kutuuzia, sasa fidia tunalipa na Rostam kaingia ubia na Wamarekani ili kuwaziba wanasiasa midomo, kwenye Symbion hii ilobadilishwa jina toka Dowans hatumsikii Slaa,mbowe,sitta wala Mwakyembe wakati mitambo ni ileile iloitwa chakavu, wamefyata kisa Marekani ina hisa so wakipinga itakula kwao. Sasa Rostam anakula Fidia,anakodisha Mitambo kama kawa na kelele zimestop kwa nini wahindi wasitudharau?
ROSTAM ni sijawahi kutegemea nitakuwa naishi NCHI MOJA anayoishi kiumbe huyu.
Sheria ya kuua hata kwenye vitabu vya dini zipo kwa ajili ya kiumbe huyu
Duniani wameumbwa watu, wanaadamu na wanyama, lakini wengine kama huyu jamaa haieleweki ni kundi LIPi, hayupo katika hayo
Kabla sijazaliwa nilihisi harufu ya Viumbe kama hawa ambao hawajali maisha ya binadamu, maana wao si kundi la wanyama, nilipata akili nikajihoji mwenyewe, kwamba, "hivi huyu! alishawahi kupigiwa kura na binadamu, na wakampa kura? Akaongoza jimbo kweli?
Zitto alionya kuvunja mkataba wanasheria uchwara wakajifanya kubisha, sasa kwenye court ya kimataifa ya biashara na ya ndani tumekula mweleka na gharama ya fidia ni kubwa kuliko bei waliyokuwa wanataka kutuuzia, sasa fidia tunalipa na Rostam kaingia ubia na Wamarekani ili kuwaziba wanasiasa midomo, kwenye Symbion hii ilobadilishwa jina toka Dowans hatumsikii Slaa,mbowe,sitta wala Mwakyembe wakati mitambo ni ileile iloitwa chakavu, wamefyata kisa Marekani ina hisa so wakipinga itakula kwao. Sasa Rostam anakula Fidia,anakodisha Mitambo kama kawa na kelele zimestop kwa nini wahindi wasitudharau?
Usiseme imekaa kidini sema unawaza KIDINI, Kitu Open kama hiki unazungumzia udini, Donda dugu la udini lipo kwenye Ubongo wako pole sananaona kama hii post imekaa kidini vile!
Ina elekea zile sarakasi hazikuzaa matunda. Ohh atulipi deni! Ohh mwenye kampuni hajulikani! Haki ya mtu haitiwi kidole
mwizi? mitambo imeonekana au unafiri mitambo ni kama macho yako kwamba unaziwanayo?kumbe hata mwizi ni haki yake kuiba sio?
Usiseme imekaa kidini sema unawaza KIDINI, Kitu Open kama hiki unazungumzia udini, Donda dugu la udini lipo kwenye Ubongo wako pole sana