hizi ndizo habari wanazotaka kusikia watu wa chademaKuna watu wanajifanya Wajuaji kama Kabendera shauri yao
hizi ndizo habari wanazotaka kusikia watu wa chademaKuna watu wanajifanya Wajuaji kama Kabendera shauri yao
Wee kweli bwege!!!Msengapavi ndugu yangu,wewe sio mwoga basi tuwekee jina lako kamili na unakokaa tuje kunywa kahawa.
Haya imbecile za lumumba hizo, zinashusha pumba.Dotto Bulendu namfahamu vizur Sana na Ni ndugu yangu wa karibu Sana. lkn lazima nikili kwamba....
Tangu kusitishwa kakipindi kake Flani pale star TV na kauwezo kake ka kufikiri kameshuka Kama 37% ivi,yaani anacopy tu matukio pumba tupu ataki kuumizwa kichwa
Wee kweli bwege!!!Msengapavi ndugu yangu,wewe sio mwoga basi tuwekee jina lako kamili na unakokaa tuje kunywa kahawa.
Barikiwa kwa ujumbe mzuri, uliojaa utu.
Wee kweli bwege!!!
unywe kahawa na nani?
Humpati mtu hapa,muhuni wewe
Dot
Dotto Bulendu wewe ni Mhadhiri hapo SAUT Main Campus. Ebu ondokaka kazini bila kutoa taarifa rasmi kwa uongozi uone kama hicho kibarua utaendelea kuwa nacho. Hata kwenye kusomea "ufather" ulipigwa chini kwasababu hukufuata misingi halafu unawatetea wengine. Ajabu sana!
Unitukane, unidhihaki, unidhalilishe duniani, uisaliti nchi ninayoiongoza, uniite dikteta, uniite rubbish, bado nikuangalie, nikutibie, nikulipe mshahara, nikulindie kibarua chako. Kwani we umekuwa nani Mungu??!! Au binadamu namba moja duniani?!! Mwambieni kwanza ajifunze kuheshimu watu na mamlaka..mengine ataongezewa. Vinginevyo hata kidogo alicho nacho atanyang' anywa.
hizi ndizo habari wanazotaka kusikia watu wa chadema
Unitukane, unidhihaki, unidhalilishe duniani, uisaliti nchi ninayoiongoza, uniite dikteta, uniite rubbish, bado nikuangalie, nikutibie, nikulipe mshahara, nikulindie kibarua chako. Kwani we umekuwa nani Mungu??!! Au binadamu namba moja duniani?!! Mwambieni kwanza ajifunze kuheshimu watu na mamlaka..mengine ataongezewa. Vinginevyo hata kidogo alicho nacho atanyang' anywa.