Habari zenu wadau
Juzi tulikuwa tunazungumza na mpenzi wangu katika maongezi kuna story nikawa namsimulia then nilipomaliza akaniambia "hivi we utajisikiaje endapo mtu unaempenda anakudanganya"?nilichomuuliza ni kuwa unadhani nilichokuwa nakwambia nakudanganya? Akabisha basi nikamwambia mama mi sio stupid hivyo nisielewe unachomaanisha.
Basi ilo neno stupid mwanamke kang'aka akaniambia kama unaona mi nakuona wewe mjinga basi samahani naomba tuachane
Akakata simu then akazima
Toka juzi mpaka leo hapokei simu yangu wala hajibu sms zangu.
Jamani hivi hili nalo ni kosa la watu kuachana kweli?
Juzi tulikuwa tunazungumza na mpenzi wangu katika maongezi kuna story nikawa namsimulia then nilipomaliza akaniambia "hivi we utajisikiaje endapo mtu unaempenda anakudanganya"?nilichomuuliza ni kuwa unadhani nilichokuwa nakwambia nakudanganya? Akabisha basi nikamwambia mama mi sio stupid hivyo nisielewe unachomaanisha.
Basi ilo neno stupid mwanamke kang'aka akaniambia kama unaona mi nakuona wewe mjinga basi samahani naomba tuachane
Akakata simu then akazima
Toka juzi mpaka leo hapokei simu yangu wala hajibu sms zangu.
Jamani hivi hili nalo ni kosa la watu kuachana kweli?