Hivi unadhani tunapenda basi??? Unajikuta tu umeshadumbukia mzimamzima.....ukiumizwa ndo unaanza kujuta na kulia plus kuweka viapo vingi lakini ukikutana na mwingine unajikuta unafanya yaleyale yaliyokucost. Sijui kwa nini Mungu aliweka hii kitu inaitwa KUSAHAU
tehe tehe tehe tehe ntarudi
wote wangekua na akiri ka zako, dunia ingeendelea sana... unakuta mdada unaambiwa unapendwa basi unajiaminisha upo mwenyewe, what the f-word!!! kwa kipi hasa ulichonacho!?? sometimes chukulia love as leisure, mambo ya kufika mazima mtakufa mapema!!! men will always be men
hv unajua kitu kinachoitwa kupenda huwezi kuji control? its either u love someone or u dont lakini kusema kwamba eti utakuwa na mtu alafu upo nusu nusu ili siku akikutenda usiumia hakuna kitu kama hicho, cha msingi linapotokea ujue tu kwamba sio mwisho wa dunia na hutakuwa wakwanza wala wa mwisho kukutwa na situation kama hiyo, umia kwa kuwa huwezi kuyazuia maumivu then kadri siku zinavyozidi kwenda yataisha na utasahau na unaweza pitia situation hiyo kwa mtu zaidi ya mmoja au wawili then ndo anatokea mr or mrs right wa kukufanya uone kwamba kumbe true love ipo
mapenzi sio akili ni hisia.... utajifanya unakaza lakini kama umekufa umekufa tu...
mmh sidhani unakuta mtu anakuwa hadi mtumwa,kila anachoombwa anatoa tu ili kumuim press mwanaume
and if it is a true love as u said kwanini inafika muda it doesnt exits any more
Kumpenda mtu nusu ni impossible nafikiri ushauri mzuri kwa kina dada wasikubali kufanyishwa ngono bila ya uhusiano ambao ni official granted. Huwa inauma sana ukiwaza ulivyompa mtu hadi mwili wako afu ana ku dump. Miili ya wanawake inapaswa kutunzwa na kuheshimiwa sana kama unataka kufaidi ulimwengu wa mapenzi otherwise mtatufungulia uzi hapa kila siku za kulalamika.