ni masquaroda... sio maskaroda mkuu. ndipo ninapoishi sasa mkui
MO11 na utafiti na kabanga na bysange na Kibo10 hebu pitieni hapa
asipaone miss neddy na miss chagga na Honey Faith wala Tized
MO11 na utafiti na kabanga na bysange na Kibo10 hebu pitieni hapa
asipaone miss neddy na miss chagga na Honey Faith wala Tized
Yap kaka ni masquaroda. Nimeish dongobesh sana pale uwanja wa mpira jran na ktuo cha polisi..nimewafaid sana kwa macho mabinti wa pale dongobesh na vijiji vya jran kama gidim, tumati na endoji. Nakumbuka pia mabasi maarufu ya pale kama gari za Bayo, Mjomba na Bashnet coach.
Ole wao wenye kutamani visivyokuwa vyao...hahahaaaaaaMkuu kutamanishana huko na leo sababato
Pia kunaMshana..huko dongobesh nmekaa sana. Kuanzia bashnet, bashay mpaka maskaroda