Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,548
- 2,180
Usiku huu wapendwa mida ya saa nne Maeneo ya Mbez Makonde Jirani na Ninapoishi nimevunjiwa kioo cha Gari yangu Na wezi wamefanikiwa kuondoka na Bag Langu lenye Laptop aina ya MAC BOOK PRO Core i 7 ambayo ndio huwa naitumia katika kazi zangu za Editing lakni pia Nimeibiwa Camera Yangu aina ya Canon 550 D au jina Lingine t2i.
Pia Ndani Ya Bag kulikuwa Na External Hard Disk Mbili Aina Ya Transend Zenye Ukubwa Wa 1TB kila Moja Na Pesa Taslim Milion Tatu.
Kwa Ambae atafanikiwa Kusikia vitu hivi vinauzwa Please Naomben mnisaidie kunipa taarifa kwa namba 0712343938.
Nitashukuru Kwa taarfa yoyote nitakayopokea Pia Nipo Tayari kumlinda Yoyote atakayefanikisha Kupatikana kwa Vitu hvyo.
Hasa hasa Computer na External Hard Disk Maana Ndani yake Ina Project Zangu zote na Kuna nyingiine bado Zilikuwa hazijakabidhiwa kwa wenye Nazo.
NAOMBENI MSAADA KUPOST KWENYE Mitandao Ya Kijamii na Kwenye Magroup ya Whatsap.
--------------------------------
Huyu ni jamaa yangu anaitwa Abdallah. Nawaomba msaada wenu.
Pangu Pakavu.
Pia Ndani Ya Bag kulikuwa Na External Hard Disk Mbili Aina Ya Transend Zenye Ukubwa Wa 1TB kila Moja Na Pesa Taslim Milion Tatu.
Kwa Ambae atafanikiwa Kusikia vitu hivi vinauzwa Please Naomben mnisaidie kunipa taarifa kwa namba 0712343938.
Nitashukuru Kwa taarfa yoyote nitakayopokea Pia Nipo Tayari kumlinda Yoyote atakayefanikisha Kupatikana kwa Vitu hvyo.
Hasa hasa Computer na External Hard Disk Maana Ndani yake Ina Project Zangu zote na Kuna nyingiine bado Zilikuwa hazijakabidhiwa kwa wenye Nazo.
NAOMBENI MSAADA KUPOST KWENYE Mitandao Ya Kijamii na Kwenye Magroup ya Whatsap.
--------------------------------
Huyu ni jamaa yangu anaitwa Abdallah. Nawaomba msaada wenu.
Pangu Pakavu.