Dondosha sifa moja tu ya Wanaume weusi

Unajua kusifia dada yangu!
 
Mi naona wrote sawa Mara ya kwanza niliamini weusi wapo vizuri kwenye bed ila nikaja kukutana na mweupe kati ya wanaume watatu wanaojua mapenzi kwenye list yangu na yeye yupo
 
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi

Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...



NOTE: Comment ziwe fupifupi
Wananukia kiume zaidi,hasa akipuliza na unyunyu,Wakaka weusi Mbinguni mtakaa V.I.P
 
Wacha weee.
 
Kama hali yako ya kimapokeo ya uhalisia wa maumbile yako inaathiriwa na maoni au mitazamo ya watu wengine basi una safari ndefu kuelekea kwenye furaha ya kweli........
Mkuu heshima kwako,hujawahi kua na Comment ya hovyo hapa JF,umeandika jambo zito sana na lenye kufikirisha ila lenye ukweli halisi,sidhani kama mleta mada atakuelewa.
 
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi

Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...

NOTE: Comment ziwe fupifupi
Weusi lile kundi la muziki au ?
 

Pumba tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…