Dondoo za kupaa kichawi

Huyu jamaa siwezi kukaa nae hata nusu saa kupiga story. Dah...mambo ya kishirikina na kichawi kwa kweli yanatisha!!
Kuna wabaya kweli tena wenye madhara makubwa kwako huwaogopi kwakuwa hawajionyeshi...lakini jichunge kuna kitu utagundua kisha utakuwa rafiki yangu mkubwa
 
Ukiifahamu nguvu ya Kimungu hutaogopa chochote...kumbuka kufa ni faida kuishi ni Kristo
Itafakari vema zaburi ya 23...Bwana ndiyo mchungaji wangu....ni zaburi yenye ujumbe na nguvu ya ajabu mno ! lakini kwa waamini na waaminio
 
Ukiifahamu nguvu ya Kimungu hutaogopa chochote...kumbuka kufa ni faida kuishi ni Kristo
Itafakari vema zaburi ya 23...Bwana ndiyo mchungaji wangu....ni zaburi yenye ujumbe na nguvu ya ajabu mno ! lakini kwa waamini na waaminio
Ila Kaka Mshana Wew Ni Sawa Na Ile Mbegu Iloanguka Kwny Miiba, Ikaota Huku Ikisongwa Songwa Na Miiba. Unapenda Neno La Mungu, Unalisikiza Lakn Unakamatwa Na Anasa Ndogo Ndogo Ambazo Zinakufanya Usikuwe Kiroho.

Kama Ungeanguka Kwny Udongo Mzuri Ukazaa Moja Mia Sitini Moja Thelathini, Ungefaa Sana Kuwa Mch Maana Unajua Sana Mbinu Za Anayetukwamisha Tusiione Pepo
Mshana Njo Nikuombee Ndugu Yangu Halafu Tufungue Kanisa Mimi Nitakuwa Mweka Hazina.
 
Hahhahahaaaa shetani alisema nisujudie nami nitakupa mamlaka yote juu ya uso wa dunia...hicho cheo unachokitaka kitaiangamiza huduma! Kama ukitaka tusimame na kufanikiwa katika roho na kweli tusitoze fedha yoyote...fedha na ngono ni vivutio namba Moja vya shetani
 
Sasa Kama Hutaki Pesa Basi Hufai Wewe, Wenzako Kina ****** Wanatoa Upako Huko Ulipopakumbia Kisha Wanafungua Makanisa Wanafanya Miujiza Wewe Ndugu Yangu Unang'ang'ana Na Collora Wakat Wenzako Wana V8


Mshana Fursa Hizo Kaka Sasa Wewe Unazikimbia Ndugu.

Next Time Ningependa Uje Na Somo Ni Jinsi Gani Upako Wa Manabii Fake Unavyopatikana, Sadaka Wanazotoa Na Pia Njia Gani Za Macho Ya Kawaida I Mean Yakibinadamu Yanaweza Kuona Hiyo Sanaa.

Napata Raha Sana Japo Unacheza Na Fursa Kikore.
 
Wana post zao nyingi tena tena za mwaka jana mwanzoni sikuwabakisha popote...nataka nipate utajiri kwa njia nyingine lakini sio hii nina hofu na Mungu wangu
 
Wana post zao nyingi tena tena za mwaka jana mwanzoni sikuwabakisha popote...nataka nipate utajiri kwa njia nyingine lakini sio hii nina hofu na Mungu wangu
Nitajitahidi Nizipitie Kaka Nijifunze Kitu, Ngoja Nikitulia.
Big Up Kaka Lakn Kuna Watu Watakuwa Wanakuonea Aibu Sana Na Siku Ukifa Watafurahi Sana Maana Wanajua Kwmb Unajua Kila Chembe Ya Hatua Zao Kiasi Kwmb Wakikuona Roho Zinawauma Kana Kwmb Unawatangaza Kumbe Upo Kimyaaa Lakn Unajua Siri Zao.

Siri Za Kichawi Na Utajiri Wake Huwa Ni Fedheha Kubwa Sana Maana Wakat Yeye Anapata Heshima Kwa Watu Wewe Unajua Mambo Yote Mpaka Sadaka Anazotoa. Ni Vyema Ukakaa Mbali Na Watu Hao Maana Wakipata Nafasi Hata Nukta Kukuangamiza Hawajiulizi Ilimladia Tu Wasikuone Kaka.

Natumai Imekutananayo Haya Ndugu.
 
Nina ulinzi kamili wa damu ya Kristo, sina chembe ya hofu...nilifika kuzimu na Nimekaa dunia ya kiza kifo kwangu ni ushujaa na daraja la kufaulu kuingia ulimwengu mwingine...wanajua nikoje ndo maana hawathubutu kunidhuru
 
Mkuu

Kwenye mstari wq mwisho hapo.

Zaidi ya ushetani ni nini?
 
mshana jr.ww ni mchawi
 
Ukipitia Michango wa Watu , utang'amua Binadamu tunamuogopa Shetani kuliko hata Mungu!
 
Wachawi huabudu Mungu yupi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…