5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,698
- 1,592
Take my word, utajanambia, Biden bado hajasimama kunadi sera zake Trump ananuka kashfaUnaongea unachokitaka badala ya uhalisia. Nenda kaangalie kura za maoni za wagombea wa urais kutoka vyama vyote ukaone jinsi Trump anamburuza huyo Biden wako. Tena kwa muda mrefu tu