Don Clericuzio

Yah! Ni kweli kabisa Mtani inabidi tujitafakari mno sababu kama wale watoto kila kukicha wanazidi kuwa wabovu.

Mashindano yakiisha na wao ndo wameisha.

Hatuna academy za kuwapeleka ili waendelee hata mashindano mengine ya under 19 utakuta tunaanza kutafuta upya tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom