Nina imani ushakuwa mwenyeji sasa Mtani. Chocho zote ushazijua. 😎😎
Haya bana Mtani.Sana Mtani.
Haya bana Mtani.
Acha tu Mtani. Nkajua ntafuta machungu kwa Serengeti Boys kule nako nikaambulia machungu.Nasikia jana mlipigwa Mtani!
Acha tu Mtani. Nkajua ntafuta machungu kwa Serengeti Boys kule nako nikaambulia machungu.
Yah! Ni kweli kabisa Mtani inabidi tujitafakari mno sababu kama wale watoto kila kukicha wanazidi kuwa wabovu.Serengeti Boys wametuangusha, ahadi zote walizopewa zimeyeyuka.
Ila kama taifa inabidi tujitafakari, tunaongea sana bila mipango.
Yah! Ni kweli kabisa Mtani inabidi tujitafakari mno sababu kama wale watoto kila kukicha wanazidi kuwa wabovu.
Kazi ipo Mtani. Tusubiri miujiza huenda tukapenya semi final.Mashindano yakiisha na wao ndo wameisha.
Hatuna academy za kuwapeleka ili waendelee hata mashindano mengine ya under 19 utakuta tunaanza kutafuta upya tena.