Domo zege....

Domo zege....

Chipolopolo

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2012
Posts
1,432
Reaction score
746
Binti:Hivi kinachokufanya unitolee mimacho yako ni nini?M-kaka:Nimekutaka,umenikataa ukasema nitakula kwa macho. Mimi😀omo zege macho mkombozi wangu nnakula nnashiba kwa macho...kwanini unkataliye wakati bado ntakula chochote ntakacho hata kwa macho...?
 
hadi huku nilipo nimesikia hilo cheko lako...mkuu una kicheko cha kitajiri sana

Asante sana mkuu...ila si cha kitajiri ila kupotezea machungu ya maisha haya magumu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom