usd 1,000,000 x 1608 = 1,608,000,000habari jf!
Samahani, naomba kujulishwa....
Dola milioni moja ni sawa na shilingi ngapi za ki-tanzania?
Ahsante mkuu.
Ila naona wengi wananikosoa bila kujua kilichonipelekea kuuliza hapa.
Wewe ndugu ufahamu wako ukoje? hili ni swali la kufungulia thread kweli? Kama una access ya network ya kuingilia JF utakosaje network ya hata kugoogle tu upate exchange rate? au hesabu za kuzidisha ni mgogoro? Kizazi hiki kilichozoea kutafuniwa kila kitu ni shida sana.
Mpaka amejibiwa tayari ameshasikilizwa. Ila tu naye ameelezwa kwa kuuliza kitu kisichohitaji kuulizwa sehemu kama hii. BTW, kajitetea hapo juu, google inamsumbua. Angeweka maelezo kwanini hawezi kuaccess alternative sources nani angemshangaa? he wasn't supposed to assume the abvious bhanaaaaNi haki yake ya kikatiba yakuongea na kusikilizwa, anaweza kukushtaki kama hujamskiliza
Ni haki yake ya kikatiba yakuongea na kusikilizwa, anaweza kukushtaki kama hujamskiliza
Usijekua umetumiwa msg na wale vichaa wa Nigeria wanaojifanya eti wazazi wao walikua matajiri ila kwa sasa ni yatima, wapo Senegal kituo cha kulelea wakimbizi.. :msela:
Hapana
Usijekua umetumiwa msg na wale vichaa wa Nigeria wanaojifanya eti wazazi wao walikua matajiri ila kwa sasa ni yatima, wapo Senegal kituo cha kulelea wakimbizi.. :msela:
Me 2 nlpata hyo email,kumbe wale watu ni tapel!
Habari jf!
Samahani, naomba kujulishwa....
Dola milioni moja ni sawa na shilingi ngapi za Ki-tanzania?