dogo noumah

dogo noumah

pitbull

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
596
Reaction score
186
kuna dogo mmoja alikuwa anahudhuria mafundisho ya dini sikumoja mwalimu alikuwa akifundisha akauliza wangapi wanataka kwenda mbinguni? watoto wote wakanyoosha kasoro yuke dogo mwalimu akamuuliza wewe hutaki kwenda mbinguni dogo akajibu mimi mama kaniambia nikitoka mafundisho nisipitie mahali.!!teh teh teh
 
Kapinda huyo,si unajua watoto wa P.O box hawapo tena? siku hizi ni .co.tz/.com
 
Back
Top Bottom