Dogo muhuni ila he is very smart

Huenda akawa zaidi ya wote haio
 
Mnafuga wezi mtaani kwenu halafu unakuja kuwasifia hapa usisahau shetani hana rafiki
 
Dogo hana muda mrefu nakuhakikishia mtamtafuta vituo vyote, alikuwa jamaa katoka south uko aliharibu akarudi bongo akawa anavunja na kuiba ovyo anaenda kuiba na wenzie wanadakwa wanauwawa ye anapona . Siku moja yakatokea mauaji mtaani alafu hakufanya yeye waliouwa walikumbia
Sasa alikuja akafaanya wizi mwingine siku io polisi walikuja kumfuata akachukuwa kisu akawatishia akakimbia zikapita siku akajisahau walikuja polisi na difenda gafla walinkaba roba alitoa macho nusu kukata roho wakambeba msobe wakamtupa kama mzigo kwenye difenda

Wakaenda mpa kesi ya mauaji now kafungwa maisha
 
back days hapo mwanza, kuna muuza mkaa aliibiwa simu, akatoa tangazo jamani nipeni somu yangu, watu waka huna simu yenyewe ilikua imechokaa skrepa haswa, wale wahuni wakazinda kama hawajaiiba, dadeki badae simu ikaanza kuita kwenye tumbo la mshikaji mmoja hilo jambo lili msumbua sanana simu kesha uza sijui buku tano, alivoona hali mbaya inazidi kua kibwa akachikua kisu ili ajichane tumbo aitoe guess what happen, sentensed to death, and rest in hell father fucker,
 
Watanzania tunapenda kuvipa airtime vitu vya kipuuzi sana sijui tukoje
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…